LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ni 360k siyo 300k.

Lakini yote tisa ukweli ni kwamba Israel ndiyo inayofanya wapalestina wawe na roho za kigaidi
 
Unaweza enda upande wa Hamas maana kuna waarab wa Qatar na Iran wanatoa wanatoa mpunga allah anapopambaniwa na ikitokea umeuwawa basi utaenda peponi kuinjoy mabikira 70 na mito ya pombe
Kumbe unajadili kwa mihemko ya kishabiki,
Ndio maana umeandika kitu usichokijua kwenye post yako #3
 
Hali ya Jeshi la Israeli (IDF) ni mbaya tunaweza sema hivyo kutokana na kupungukiwa baadhi ya vifaa muhimu kama vile bullet proof vests, boots, mpaka sare za jeshi (combat gears), jambo lililopelekea kuomba misaada kwa nchi rafiki wakati wakisuburia oda ya vifaa hivyo waliyoagiza kurokat China ambayo itachukua siku kadhaa kukamilika.

Zile Stori za vijiwe vya gahawa kwamba hakuna kama jeshi la Israel zinazidi kupoteza mvuto.

+++--++++-++++-++++-++++-++++-+++-+++

Chanzo: The timess of Israel
 
Uzalendo unaupata kama Taifa ni moja ambalo halina ubaguzi wa aina yoyote. Kazi ya Kiongozi bora ni kuliunganisha taifa lake - Juzi tumesikia Waziri Mkuu wa Islael ameunda Serikali mpya ambayo itafanya kazi pamoja kwa kipindi hiki huku akimkaribisha hasimu wake mkuu wa kisiasa kuwa ndani ya Serikali hiyo.
 
Gaza War, Day 6:
Heavy Israeli strikes in Gaza overnight, dozens dead; Air Force bombs operational command centers, kills senior member of Hamas naval force; IDF now focusing on bombing Gaza's terror tunnels.
 
 
Kuna nguo kuchanika au kuharibika katika mapamano, na pia kunanjeshi la akiba wamekuja kusadia IDF!.
Kwahy muda wote huo kabla ya vita walikuwa wanavaa nguo za majumbani wakiwa jeshini.?
 
Ni 360k siyo 300k.

Lakini yote tisa ukweli ni kwamba Israel ndiyo inayofanya wapalestina wawe na roho za kigaidi
Ukishakuwa mfuasi wa munyaazi mungu tu bas unaanza kuwa trained mapema kuwa na roho ya kikatili maana unaanza kumezeshwa chuki dhidi ya watu wa Imani nyingine mfano Alshabaab, Boko Haram, ISIS, Zanzibar nk
 
Israel inapigana na hamas na sio palestina nyie ndio wapotoshaji wakuu. Mnaingiza mkenge wajinga wengi wasiojua kutofautisha hamas na palestina.
 
Muda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.

Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi.
Wakishalaumiwa ndio inasaidia waliokufa kufufuka?
 
Binafsi naona kama muda wa kwenda huko bado maana naona bado magorofa yamesalia ilipaswa wayadondoshe yote ili uwe uwanja ndipo waingie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…