LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
AGITATOR.
Hivi wapalestina waliwakosea nini wayahudi mpaka wawafanye wakimbizi/watumwa ndani ya nchi yao.
Hakika ukinijibu vizuri nitakurushia voucher ya elfu tano.
Hakuna sabau ya kuua watu huvyo ni roho mbaya tu. Tourati inasemma amri mbili kuu.
1. Sikia EeIsraeli Bwana Mu gu ni mmoja nawe Mpe xe Mu gu kwa moyo wako wotekwa roho yako yote na kwanguvu zako zote
Ya pili
2. Mpe de jirani yayako kama nafsi yako
Hii ndio jumla ya taurati yote na Manabii.
Sasa hapo upendo kwa jirani uko wapi ibada yoyote inayojenga chuki kwa mwenzako ni ibada ya kishetani.
Ndio maana manabii walisema " Siku zinakuja ambapo wale wanaoua wataona kama wanamtolea Bwana ibada, eti wanaua kwa jina la Mungu.
Israeli na Palestine wote ni watoto wa Mungu kwa Uumbaji na Ukombozi japowanatuo a sisi Afrika kama uzao wa laana Lakini wao wana LAANA KUBWA.
Ngano za kiyahudi zinadai mtu mweusi analaana toka kwa Hamu wakati yaliye laaniwa ni Kaanani.
Lakini ikiwa mtu anauamini mpango wa Mungu wa Ukombozi kupitia Yesu hakuna tena utengano.
Vita hii ni ishara dini yao ni mfu na dhaifu kabisa ambayo mtu hatatamani kuwa ndani yake.
 
Ukiona mbwa anabweka kwa mbwembwe sana ujue mwenye mbwa hayuko mbali.
Ni kweli Hamas ni kakundi kadogo lakini jiulize kamepata wapi hizo nguvu na silaha? Kanapata wapi jeuri ya kupigana na Taifa kubwa duniani? Fikiri mara mbili. Na Israel siyo wajinga, hope wana info zote through their security channels. PM wao Ben hakuongea vile alivyoongea kwa kujifurahisha, usimfananishe na Bashite.
 
Israel ni taifa kubwa duniani!?..kubwa kwa lipi!?..wanaishi kwa misaada
 
Huo ni mtazamo wako tu usio na uhalisia, Rusia kamwe hawezi kuwatumia Hamas kumpiga muisraeli. Hivi ulishawahi sikia mahali popote Rusia na Israeli wanavutana?
Wakati wa Hitler Ulaya ilikuwa imeshaelekea Kibla, ni Russia pekee ndiyo aliyeresist kwa miaka almost 7 ama 8 .

Hatimaye Hitler alichemka vita na Urussi, mwishowe Urussi aliwasaidia sana mateka wa Israel waliokuwa UTUMWANI German.

Inaonekanaga sana Israel wanaliheshimu hilo.
Hawanaga uadui kihivyo, hata Ukrain War Israel kajivutavuta sana mpaka Zele akalalamika
 
Yupi ni mcokozi kati ya Israel na Palestine juu ya kile kinacho endelea pale middle east?
Kuanzia miaka ya 1880 Wayahudi wengi walianza kurejea Palestina na kujipatia ardhi na mijikoloni ya kilimo na makazi, tofauti na awali ambapo msukumo wao ulikuwa kwenda kwa lengo la kujihusisha kwenye utafiti wa masuala ya dini.

Mfano mwaka 1882 ulishuhudia kuingia kwa Wayahudi wengi Palestina kufuatia mateso waliyopata wakiwa Urusi.

Matukio mengine ni yale ya vita vya 2 vya dunia - Adolf Hitler na sera za Wanazi.

1881 (Wayahudi Palestina ~ 24,000)
1914 (~ 85,000)
1944 (~ 565,000)!!!
 
Si mdogo wake bana, Yonatan alikuwa mtoto wa kwanza.
 
Lakini pia huyo huyo Russia aliresist kwa msaada wa USA wa kupewa silaha za kutosha na usaidizi mwingine.Angekuwa peke yake pengine asingeweza himili pia.
 
Israel jana usiku ilifanya ambush ya ardhini kwenye baadhi ya ngome za Hamas kaskazini mwa gaza lakini haijamkuta mpiganaji hata mmoja wa hamas badala yake wamekuta baadhi ya mateka wakiwa wameuwa,haijabainika iwapo mateka hao waliuawa na mashambulizi ya anga ya Israel au Hamas ndo wame wauwa.
Wachambuzi wa mambo wana sema wenda Hamas imefanya tukio hilo makusudi kabisa kama onyo kwa Israel, hali hiyo imeiweka Israel kwenye wakati mgumu sana ni namna gani watawaokoa mateka bila kuhatarisha maisha yao.
 
Mgawanyo wa Ardhi walioufanya UN ilikuwa ni asilimia ngapi kwa Palestina na asilimia ngapi kwa Mazayuni mayahudi?
 
Kwahiyo katika hali ya uonezi kama huo, tunakubaliana kwamba mayahudi yanstahiki kila pigo wanalopata toka kwa Hamas, sivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…