Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Kwa iyo hawa watoto wenye miaka 2 mpaka 7 waliouwawa na Waisrael ndio waliwaficha Hamas? ndio Mungu wao alivyowaambia wawaue hawa watoto?Kwa mujibu wa Israel ni kuwa, yoyote anamsaidia na kumficha gaidi naye ni gaidi tu, pale pale alipo atapigwa na kitu kizito akafe na gaidi mwenzake. Kila kitu kina gharama, na gharama ya kumtunza na kumficha gaidi mwisho huwa ni kifo
ndio maana Israel wameumua kuwamaliza hawa watoto sio? Ndio taifa teule waliotumwa na mungu kuua watoto sio?Washauri hamas waache mbinu za kishoga za kujificha sehemu hizo na waache kujificha nyuma ya raia na wavae sare za kijeshi kama wao wanaume kweli wa uwanja wa vita.
NB: DAWA YA MOTO NI MOTO NA AKUANZAE MMALIZE.
Uandishi wa shida sana, yaani kipande kifupi tu ulichoandika makosa kibao. Mkiambiwa elimu ya madrasa pekee haitoshi mnakaza mafuvu.Naamka usiku wa manane kuwambea dua waislam wa Palestina.
Pia familia yangu yote niamsha kufanya dua maalum kuwapombea Palestina wanaonyanganywa ardhi yao.
Dua ni silaha kwa adui
View attachment 2796545
Kuwambea ndio nini?Naamka usiku wa manane kuwambea dua waislam wa Palestina.
Pia familia yangu yote niamsha kufanya dua maalum kuwapombea Palestina wanaonyanganywa ardhi yao.
Dua ni silaha kwa adui
View attachment 2796545
Ushawahi kuingia vitani???ndio maana Israel wameumua kuwamaliza hawa watoto sio? Ndio taifa teule waliotumwa na mungu kuua watoto sio?
Wapiganaji wa hamas walienda kujificha kwenye nyumba waliyokuemo hawa watoto,,kwa uoga wa kupambana barabarani.Kwa iyo hawa watoto wenye miaka 2 mpaka 7 waliouwawa na Waisrael ndio waliwaficha Hamas? ndio Mungu wao alivyowaambia wawaue hawa watoto?
Kwamba hamas wanawabeba watoto na kuwapeleka kwenye battle?tumia akiliWataachaje kuua watoto wakati wapiganaji wanatumia raia kujikinga?
Kama wao ni wanaume waende mstari wa mbele, pia raia wameonywa kuondoka hawataki unategemea waachwe huku wao wakiendelea kurusha silaha israel?
Acha haya maujinga nyie
Wasianze tena kulalamika israel inapiga mabomu na kuua watoto na wazee.Mda ni hakim mzuri sana hao watapigwa mpaka wakijamba moshi wa bonu unatoka.Oky tusubirie kesho asubuhi tu utafungua Uzi wa malalamiko
Kwamba hamas wamejificha na hawa watoto?mbona sioni maiti zao hapaWapiganaji wa hamas walienda kujificha kwenye nyumba waliyokuemo hawa watoto,,kwa uoga wa kupambana barabarani.
Si wangewafuata huko huko kwenye hiyo nyumba? Si wana silaha na mafunzo ya kisasa? kilichowashinda ni kitu gani?Wapiganaji wa hamas walienda kujificha kwenye nyumba waliyokuemo hawa watoto,,kwa uoga wa kupambana barabarani.
Si wangewafuata huko huko kwenye hiyo nyumba? Si wana silaha na mafunzo ya kisasa? kilichowashinda ni kitu ganiWapiganaji wa hamas walienda kujificha kwenye nyumba waliyokuemo hawa watoto,,kwa uoga wa kupambana barabarani.
Kwenye vita vyote mauaji ya watu wasio na hatia hayaruhusiwi. Hiyo ni sheria ya umoja wa mataifa. Ndio maana kwenye nchi zenye machafuko askari wa UN wanapelekwa kulinda raiaUshawahi kuingia vitani???
ADUI AKIJIFICHA NYUMA YA MTOTO BASI UNAUA WOTE RISASI HAICHAGUI.
AFU MBONA HIZO PICHA ZA MIKAKATI ILI WAONEWE HURUMA NA DUNIA.
NB: MUNGU WA WAYAHUDI SIO ALLAH
NA HAO NDIO WATEULE WAKE YEYE
YEYE ANAITWA EL-SHADAI
Kwa akili hizi za matope mtapasuliwa sana.Raha hivi.
Muislam akimuua kafiri ktk vita ameandaliwa Jannah na akiuliwa yeye anapata Janna.
Kafiri akifa motoni na akiua yeye motoni
Mkuu acha utoto.....Kwamba hamas wamejificha na hawa watoto?mbona sioni maiti zao hapaView attachment 2796608
Sawa na wewe pagazi wa mwarabu unavyo mhusudu hadi jina umepewa la kwake eti ndio utaenda ahera na kurejeshewa ubikra wako ili uwastareheshe mashahidi wa allah anaokufa wakimpigania.Unalojazwa ujinga wewe ndiyo imeshakuwa dunia nzima?
Ikiwa wewe umejazwa ujinga wakuamini myahudi ni Mungu wako, usifikiri dunia nzima wana ujinga huo.
Umeitaza avideo clip niliyoiweka juu hapo? Au bando la shemeji?
Acha kutetea ujinga hao hamas walivo ingia israel waliteka na kuua mpaka watoto ila hilo hulioni hamas wanapelekewa moto mpaka kamasi zinawatoka ndo unawaona ni watu.Israeli piga vizee vyao na vigaidi vitoto mpaka siku nyingine wawe na akili.Hamas ni wapumbavu na mpumbavu ni kumjjibu kipumbavu tu hakuna huruma.ndio maana Israel wameumua kuwamaliza hawa watoto sio? Ndio taifa teule waliotumwa na mungu kuua watoto sio?
Hii jamii sijui kama wanajitambua unajua huyu jamaa amenishangaza?Kwa akili hizi watawauwa kama nyumbu
Ndoto ya kijinga. Mamilion ya rocket yapo onfieldIron dome ya muisrael imedukuliwa na hamas na pia imeripotiwa kuishiwa rocket baada ya kurushiwa makombora mfululizo.
Sasa hao hamas wanaporusha roketi huwa hawajui kama huko wanakorusha roketi kule Israel hakuna raia wasio na hatia na wanawake na watoto??Si wangewafuata huko huko kwenye hiyo nyumba? Si wana silaha na mafunzo ya kisasa? kilichowashinda ni kitu gani
Kwenye vita vyote mauaji ya watu wasio na hatia hayaruhusiwi. Hiyo ni sheria ya umoja wa mataifa. Ndio maana kwenye nchi zenye machafuko askari wa UN wanapelekwa kulinda raia
Hajaona ndege za marekani zilivyosusha shehena za siraha??Ndoto ya kijinga. Mamilion ya rocket yapo onfield
Kule israel walilipua nn ..? Kama sio disco vumbi za raia wasio na hatia na kuteka wazee watoto tena watu wa mataifa mengine. Mna ujinga saana hivi mabichwa yenu yamejazwa yale maandishi ya kwenda kushoto na fikra zipo kushotoTatizo la hao mashoga mnaowatetea wanaua raia wasio na hatia walitakiwa wapigane na hao Hamas wenyewe sio kulipua grocery ,holy houses,hospitals,bakery ndio kuna Hamas huko?