Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Duh 🙄Kasaidie maana kichapo kwa hamas ni funua funika gaza inageuzwa majivu,vichuguu na makaburi.Israel wametinga na anapigwa kwa juu,majini na ardhini
Agiza rusholo nitalipa 😂Anyway
... Mimi maasai wa Namalulu, kwa vyvyote vile Vita vya mashariki ya Kati hainihusu
Hicho Ni chakula ya wameru, wachaga na wamasai fake. Sisi original tunakula ugali nyama na maziwaAgiza rusholo nitalipa 😂
Masai feki ndio hao wanaotembeza shanga mjini?wamasai fake
Na wanaokula loshoro na mboga ya kijaniMasai feki ndio hao wanaotembeza shanga mjini?
Wanaume wa Dar bhana, mkoje?
Si ndio hao hao waliohamishwa Ngorongoro na Loliondo?Na wanaokula loshoro na mboga ya kijani
Mbona taarifa yako ni ya upande mmoja tu?Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.
Kumbe mnaikubali Israel na jeshi lake eti? Yaani HAMAS wameishakufa zaidi ya elfu nne mnaona poa, lakini Waisrael 311 kufa mnaona ni ushindi! Ahahahahaha! Kweli Israel ni Taifa la Mungu na halitakiwi kuguswa!Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.
Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa iliyoanza Oktoba 7 dhidi ya utawala wa Kizayuni ni moja ya mashambulizi makubwa sana dhidi ya utawala huo ghasibu kuwahi kufanywa na wapiganaia uhuru wa Palestina. Wanamapambano wa harakati ya Hamas ya Palestina walipenya ndani ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wakitokea katika nukta kadhaa za maeneo ya mpakani na kushambulia vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi na kuwaangamiza walowezi wasiopungua 1,500 na kuwateka nyara wengine zaidi ya 200.
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni Jumapili hii amekiri kuwa, idadi ya wanajeshi wao waliouawa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa Oktoba 7 mwaka huu imefika 311 huku wanajeshi wengine 32 wakitekwa nyara.
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amedai kuwa: jeshi la utawala huo limeshambulia ngome za harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika medani ya kaskazini. Ameeleza haya katika radiamali yake baada ya kurushwa video inayoonyesha kambi za Wazayuni zilivyoshambuliwa na Hizbullah ya Lebanon karibu na mipaka ya kusini mwa Lebanon.
View attachment 2797223
Hamas zaid 8 wamekufa halafu Israel anaomba majeshi UK na marekani. Shule ulienda kujifunza ujinga?Kumbe mnaikubali Israel na jeshi lake eti? Yaani HAMAS wameishakufa zaidi ya elfu nne mnaona poa, lakini Waisrael 311 kufa mnaona ni ushindi! Ahahahahaha! Kweli Israel ni Taifa la Mungu na halitakiwi kuguswa!
Labda babaako ndio alijifunza ujinga ndio maana kazaa toto jinga kama aliyewazaa Waarabu. Hivi Kuna mbwa wa Kiarabu anaweza kumpiga Muisrael?Hamas zaid 8 wamekufa halafu Israel anaomba majeshi UK na marekani. Shule ulienda kujifunza ujinga?
huwa wanatisha kwa sura tu hawa, ila kwenye battle ground ni walaini zaidi ya maini. in Lema's voice.Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.
Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa iliyoanza Oktoba 7 dhidi ya utawala wa Kizayuni ni moja ya mashambulizi makubwa sana dhidi ya utawala huo ghasibu kuwahi kufanywa na wapiganaia uhuru wa Palestina. Wanamapambano wa harakati ya Hamas ya Palestina walipenya ndani ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wakitokea katika nukta kadhaa za maeneo ya mpakani na kushambulia vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi na kuwaangamiza walowezi wasiopungua 1,500 na kuwateka nyara wengine zaidi ya 200.
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni Jumapili hii amekiri kuwa, idadi ya wanajeshi wao waliouawa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa Oktoba 7 mwaka huu imefika 311 huku wanajeshi wengine 32 wakitekwa nyara.
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amedai kuwa: jeshi la utawala huo limeshambulia ngome za harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika medani ya kaskazini. Ameeleza haya katika radiamali yake baada ya kurushwa video inayoonyesha kambi za Wazayuni zilivyoshambuliwa na Hizbullah ya Lebanon karibu na mipaka ya kusini mwa Lebanon.
View attachment 2797223
Haha haaa. Kumbe wewe mbaazi? Israel anakitu gani? Sema USA , NATO na UK wanashirikiana kupigana na hamas. Isreal cha mtoto. Isreal bila NATIO; AMERICA sawa na kumsukuma mlevi.Labda babaako ndio alijifunza ujinga ndio maana kazaa toto jinga kama aliyewazaa Waarabu. Hivi Kuna mbwa wa Kiarabu anaweza kumpiga Muisrael?