LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wanaume wa Dar bhana, mkoje?
20231021_221435.jpg
 
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.
Mbona taarifa yako ni ya upande mmoja tu?
Mbona hujasema magaidi wa hamas wameangamizwa wangapi hadi sasa?
 
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.

Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa iliyoanza Oktoba 7 dhidi ya utawala wa Kizayuni ni moja ya mashambulizi makubwa sana dhidi ya utawala huo ghasibu kuwahi kufanywa na wapiganaia uhuru wa Palestina. Wanamapambano wa harakati ya Hamas ya Palestina walipenya ndani ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wakitokea katika nukta kadhaa za maeneo ya mpakani na kushambulia vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi na kuwaangamiza walowezi wasiopungua 1,500 na kuwateka nyara wengine zaidi ya 200.

Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni Jumapili hii amekiri kuwa, idadi ya wanajeshi wao waliouawa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa Oktoba 7 mwaka huu imefika 311 huku wanajeshi wengine 32 wakitekwa nyara.

Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amedai kuwa: jeshi la utawala huo limeshambulia ngome za harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika medani ya kaskazini. Ameeleza haya katika radiamali yake baada ya kurushwa video inayoonyesha kambi za Wazayuni zilivyoshambuliwa na Hizbullah ya Lebanon karibu na mipaka ya kusini mwa Lebanon.
View attachment 2797223
Kumbe mnaikubali Israel na jeshi lake eti? Yaani HAMAS wameishakufa zaidi ya elfu nne mnaona poa, lakini Waisrael 311 kufa mnaona ni ushindi! Ahahahahaha! Kweli Israel ni Taifa la Mungu na halitakiwi kuguswa!
 
Kumbe mnaikubali Israel na jeshi lake eti? Yaani HAMAS wameishakufa zaidi ya elfu nne mnaona poa, lakini Waisrael 311 kufa mnaona ni ushindi! Ahahahahaha! Kweli Israel ni Taifa la Mungu na halitakiwi kuguswa!
Hamas zaid 8 wamekufa halafu Israel anaomba majeshi UK na marekani. Shule ulienda kujifunza ujinga?
 
Hamas zaid 8 wamekufa halafu Israel anaomba majeshi UK na marekani. Shule ulienda kujifunza ujinga?
Labda babaako ndio alijifunza ujinga ndio maana kazaa toto jinga kama aliyewazaa Waarabu. Hivi Kuna mbwa wa Kiarabu anaweza kumpiga Muisrael?
 
Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa hadi sasa wanajeshi 311 wa Israel wameangamizwa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.

Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa iliyoanza Oktoba 7 dhidi ya utawala wa Kizayuni ni moja ya mashambulizi makubwa sana dhidi ya utawala huo ghasibu kuwahi kufanywa na wapiganaia uhuru wa Palestina. Wanamapambano wa harakati ya Hamas ya Palestina walipenya ndani ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wakitokea katika nukta kadhaa za maeneo ya mpakani na kushambulia vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi na kuwaangamiza walowezi wasiopungua 1,500 na kuwateka nyara wengine zaidi ya 200.

Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni Jumapili hii amekiri kuwa, idadi ya wanajeshi wao waliouawa tangu kuanza oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa Oktoba 7 mwaka huu imefika 311 huku wanajeshi wengine 32 wakitekwa nyara.

Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni amedai kuwa: jeshi la utawala huo limeshambulia ngome za harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika medani ya kaskazini. Ameeleza haya katika radiamali yake baada ya kurushwa video inayoonyesha kambi za Wazayuni zilivyoshambuliwa na Hizbullah ya Lebanon karibu na mipaka ya kusini mwa Lebanon.
View attachment 2797223
huwa wanatisha kwa sura tu hawa, ila kwenye battle ground ni walaini zaidi ya maini. in Lema's voice.
 
Labda babaako ndio alijifunza ujinga ndio maana kazaa toto jinga kama aliyewazaa Waarabu. Hivi Kuna mbwa wa Kiarabu anaweza kumpiga Muisrael?
Haha haaa. Kumbe wewe mbaazi? Israel anakitu gani? Sema USA , NATO na UK wanashirikiana kupigana na hamas. Isreal cha mtoto. Isreal bila NATIO; AMERICA sawa na kumsukuma mlevi.
Isreal akisimama pekee yake Tanzania wanampiga
 
Hakuna asiyejua matokeo ya Vita. Hamas wanajua Hilo na ndio maana huoni wakiacha kupigana wanaendelea kuzchapa na both sides wanapata matokeo
 
Dunia tangu kuumbwa kwake inatawaliwa na yule yule aliyeiumba na siku zote haitoki nje ya kanuni zake.

Sheikh anasema hizi ni dalili kutoka kwa Allah kwa wale wanaoishi baada ya Firauni na wale wanaoishi maisha aliyoishi Firauni kutokana na hukumu aliyoipata Firauni.

Firauni alikuwa akipiga ardhi kwa miguu kutokana na kiburi chake cha kutaka kuwamaliza wana wa Israel (sio Mayahudi)

Alipoinua miguu yake ili awamalize kabisa,hapo Allah akaingilia kati kuwatetea wanyonge na akammaliza Firauni.

Hivi ndivyo wanavyofanya mayahudi wa Israel sasa.Maliza kabisa wapalestina! Ondoa kabisa wapalestina Gaza, Wapeleke Sinai, Ua wote waliobaki kwa mabomu, njaa na kiu.

Sheikh akamalizia kwa kusema "Historia lazima itajirudia.Najua ndani ya Israel kuna watu wenye ubinadamu na huruma kwa wenzao.

Ni wakati sasa wa kuhama mara moja kutoka humo kabla Allah hajaingilia kuwatetea wanyonge kwa kushusha balaa ambalo halitakuwa na wa kulizuia"
 
Zamani nilifikiri sheikh Ni MTU Fulani hivi amesoma Quran na kuielewa, Ni mtu mwenye uelewa mkubwa wa dini ya kiislamu na MTU mwenye maadili mema. Juzi tu Kuna mtu kanitonya kwamba sheikh Ni MTU yoyote mwanaume anayefuata dini ya mtume. Haijalishi kasoma au la, ana busara au la, ana maadili mema au la.
I rest my case.
 
Africa woiye woiye wooo! Africa Africa, Africa Africa eeeh...×2.

Wakati mwingine Mtu unaweza kukufuru bila kukusudia kwanini ulizaliwa ukiwa Mwafrika maana tuna utumwa wa kidini hadi tunatuia huruma.

Kongole kwa Rastafarians, Buddhism, Hinduism, Paganism dini za kuabudu kwa uhuru na hiyari bila ya kufatilia maisha ya Mtu kwa chuki, ubaguzi, husda, unafki, uzandiki, visasi hata mauaji kwaajili ya Mungu asiyeonekana ilihali wahanga ni Binadamu wenyewe kwa wenyewe tunaoonekana.

Dini zinatugawa hata Atheists "Wapinga uwepo wa Mungu" wana hekima zaidi ya Wafia dini[emoji848][emoji142]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom