Kajifunze kwanza kuandika …Wakati Hamas halisi wakilia na kulalama juu ya vita walivyoanzisha wenyewe wakihitaji ceasefire kwa kichapo wanachopokea toka kwa wazayuni, Hamas wa mchongo toka buza wakiwa wamevimbiwa tende na halua huku wakila kashata na kahawa huku wakibehuwa wanataka vita iendelee. Kwa kutumia video toka sources fake zisizo rasmi kuonyesha Israel inapigika.
Nje ya mada mkuu,nakubali sana michango yako,endelea kutupa updates.Nimecheka sana...ndio hawa hapa
Video ya kwanza jamaa anafurahia mashambulizi ya rockets huku akiimba alla akbar
Video ya pili, huyo huyo jamaa analia lia kutokana na kichapo wanachopokea kutoka kwa Israel
Huyo binti kama kawaida yake ameleta matapishiMr uharo😂
Elon Musk ni nani akaone? Israel imepata mateka au bado?Jamani huyu mtoa mada ni kichaa hayuko sawa anacho ongea ni kama vile Hamasi anaomba msada 😄
Wapi Hamasi kaomba msada kwa Mrusi, Mchina na huyo Elon Musk 😄
Kumwambia aende kuona ujinga wa Israel wakuvunja majumba au mengine ni kosa? Haya Israel kavunja majumba na telecommunications centre Hamasi kashindwa vita? Umeona wanaume wanatoa matekwa pale North Gaza na Israel anadanganya watu kaishika yote North Gaza 😄
Huyo Israel sialitumia njia ya baharini na magari ya freezers kuingiza jeshi Lake na vifaru unadhani vingepita kwenda Al shifaa hospital.
Unambiwa nusu la jeshi lilio kwenye mipaka ya Gaza wamekimbia hawataki kurudi vitani, afu we unaleta story za eti Hamasi anaomba msada kwa Elon Musk hebu we tuambie Hamasi anataka msada upi kwa Elon Musk
Ukiambiwa huna akili unabisha tuambie basi Elon Musk atawapa kitu gani Hamasi 😄
Afu habari zako kutoka Jpost gazeti la Israel kapime akili zako labda kuna fuse hazifunction sawa
Wanajeshi wa Ukraine wamegoma kupigana, wengine wame sarenda kwa Urusi.
Yaani wewe huelewi kuwa Musk anamiliki mitandao mkubwa duniani wa mawasiliano? Wa space X? Na X?
Kwani ushindi si kila mtu ana tafsiri yake. Unachoona ushindi kwako kwa mwingine ni kushindwa. Sera ya israel kuhusu magaidi ni kuwa hawana mjadala la magaidi. Ila kwa hamas wanaowaita magaidi wamekubali kukaa kwenye majadiliano. Wale mateka ndio ilikua karata pekee ya hamas kuwaita israel mezani na israel wametii. Huo ni ushindi kwa hamas. Nirudie kukukumbusha kuwa kwa hamas watu wao kufa sio kushindwa ni ushindi.Sema waarabu wataendelea kufa kwa wingi sana kama saiz zaidi 17,000 wamekwisha enda kupokea bikra zao, na zaidi 50,000 ulemavu wa kudumu alafu mnasherekea ushindi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo vita ni ngumu sana ukijiingiza huko una nafasi ndogo ya kutoka salama ila Wanamgambo wa Israel toka Kwa mtoto hawawezi elewaHao hawatarudi Tena Gaza, Guerilla war ni hatari na ni vita mbaya!
Waisraeli weusi wa Gongolamboto kazi yao kupiga kelele humu kumbe jamaa zao wamekiona Cha moto.
Ndio maana Wapiganaji wa Hamas wanawatindua sana Wanamgambo wa IsraelMagaidi ni kupiga huku unayaka chakula yasije yakasingizia kupigwa kwababu yalikuwa na njaa.
Magaidi ya Hamas ni lazima yasafishweNdio maana Wapiganaji wa Hamas wanawatindua sana Wanamgambo wa Israel
Hebu weka wapi Palestine wameomba msada wake mbona damu ya kiyahudi orignal hatuna matatizo nao, matatizo yetu na hao wanao jita wayahudi walitokea Ukraine wakasamba Europe yote wajukuu wa Cain wafuasi wa paulohehehe jamaa bado unateseka na hizi insha zako, si huwa mnatukana kafir kwa yeyote asiyeabudu huyo muarabu, sasa mnamfuata Elon Must awasaidie kwenye lipi...temaneni na Myahudi la sivyo mtakua mnakufa bure, mfahamu kuwa Mungu wake ana nguvu kuliko huyo wa kwenu aliyekimbia hawasaidii kitu....
Sa wapi kaongea kilicho niumiza kumuambia atuonyeshe wapi Hamasi kaomba msada 😄Haya ni maumivu makali aise, ujue mtu ukiumizwa uwa unajikuta unaropoka ovyo pasipo kujitambua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Madrasa ni bora kuliko wewe umenda someshwa ujinga tu, nyie si ndio wale mlichimba shimo pale shifa hospital afu mkasema central command, afu mkakiri nyie mlichimba hilo shimoAdiosamigo nahisi utakuwa na elimu ya madrasa tu aise, kichwani mwako ni ujinga tu
Kawapata bada ya kuwapigia magoti HamasiElon Musk ni nani akaone? Israel imepata mateka au bado?
Askari ndiyo kwanza wameanza safari, vipi watafika wanapokusudia wanajua wao.Saudi karuhusu wapite? Au wataogelea?
Ushabiki maandazi tuweke pembeni
Wewe kama sapota hilo swali nililikuuliza wewe umejiuliza?Askari ndiyo kwanza wameanza safari, vipi watafika wanapokusudia wanajua wao.
Hebu weka wapi Palestine wameomba msada wake mbona damu ya kiyahudi orignal hatuna matatizo nao, matatizo yetu na hao wanao jita wayahudi walitokea Ukraine wakasamba Europe yote wajukuu wa Cain wafuasi wa paulo
Ama orignal Jews hawa hapo tunaishi nao kwa amani kwenye nchi za kiarabu hao ni wajukuu wa Ibrahim sio kina Paulo wajukuu wa Cain 😆
View: https://youtube.com/shorts/IskytlqS_NE?si=nfE1TW3E3viJ0h-5
Uzuri JF nyuzi zinaishi, ngoja zitoke ripoti za mabwana zenu mayahudi mtakuja kuzisoma.Huu mwaka mumeliwa hadi raha, akili imewaingia, Iran kasanda na kakalishwa ambaye mlimtegemea siku zote, mumeandamana kote mkiita akba alla, ila huyo akbar wenu kawakimbia, yaani...... Mjifunze, Myahudi sio wa kupelekea shobo zenu hizo.
Uzuri JF nyuzi zinaishi, ngoja zitoke ripoti za mabwana zenu mayahudi mtakuja kuzisoma.