LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Chakula na maradhi mengine?

No, maradhi ni magonjwa.

Malazi ni sehemu ya kuishi na mahitaji
 
Sasa ulitekwa na unajua kabisa watekaji wakikuteka ni ndio mwisho wako sasa ,sasa unaenda kule alafu unakuta mambo ni tofauti kwanini usifurahi .kizuri zaidi mtekaji anakuachia kwenda kuungana na familia yako kwanini usimpungie mkono mtekaji na kumshukuru . N.B sio kwamba hamas wanaupendo na huruma kwa wale walio wateka bali walicho kuwa wanafanya watekwaji ni unafiki kutaka kuihadaa dunia kwamba wao ni watu wema na wanaupendo huku kitendo cha kufunika nyuso zao na kuweka bunduki vifuani mwao kinaonesha wao ni wauwaji 100℅
 
" chakula na maradhi" badili hapo fasta mkuu kabla watani zako katika imani " wagalatia" hawajaja kukupopoa.
 
It looks like they don't feel like returning home, and they would prefer to stay with Hamas 😂😂😂😂Such a humane treatment on the part of Hamas.
 
Mleta mada hivi wewe umetekwa na gaidi linalotishia kukuua Muda wowote Kisha linakuachia na kukuambia nimekuachia niseme vizuri usiponisema vizuri sisi magaidi tuko Kila sehemu tutakutafuta Hadi tukuue.Ulitegemea walipoachiwa waseme vibaya?

Bado wako na trauma ya maumivu ya kilichowatokea.Ndio maana Israel wamewapiga marufuku kuongea na vyombo vya habari bado wako chini ya uangalizi wa madaktari kuanzia wa afya ya akili nk
 
🤔 Je, nchi za Magharibi zenye ubaguzi wa rangi na vipofu zinaweza kuona picha zote mbili za wafungwa watoto - moja iliyoshikiliwa na Waislamu, msichana aliyeachiliwa kwa heshima na hadhi ya mbwa wake, licha ya Wazayuni kuharibu kila aina ya maisha katika mazingira yake, na nyingine, akitokea Jela za Kizayuni zilizovunjika mikono, mikono na vidole? Iwapo Wamagharibi wanaona kwa macho ya Wazayuni tu na wanasikia kwa masikio yao tu, basi inawahusisha wao kuwa washirika wa kimsingi katika jinai zote zinazofanywa dhidi ya Wapalestina.
 

Attachments

  • IMG_7107.jpeg
    27.8 KB · Views: 2
Ingekuwa ni mfungwa mwanamama wa kipalestina amefanya hivyo kwa askari wa israel wakati anaachiwa kurejea kwao Palestina angeenda kukatwa kichwa huko Gaza!.
Funzo, waarab sio wastaarab...ni wanafki wakubwa.
Mbona kama unawaonea wivu hao wanawake mateka? 🤣
 
Chakula na maradhi mengine?

No, maradhi ni magonjwa.

Malazi ni sehemu ya kuishi na mahitaji
This single video destroyed the entire Zionist propaganda machine.
 
They look like they had a good holiday😭
 

Attachments

  • twidown.mp4
    7.7 MB
1 SAMWELI 16:7 Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.
 
1. Kumbe Israel ilidhani Kwa kila bomu wafu walikuwa wapalestina tu, wakipenda kuwaita magaidi hata kama ni watoto njiti?



2. Taarifa za kuwa waliwauwa pia baadhi ya mateka sasa imekuwa nongwa?

3. Kwani HAMAS angetaka kumwua mateka yeyote angewatunza salama vile, hadi na mbwa wao?

4. Kwa hakika kuacha mapigano ndiyo ilikuwa jambo la ufumbuzi zaidi, vinginevyo vita havina macho.



5. Kwa afya za miili na ujasiri wao huu:



Kwa hakika HAMAS bado wapo wapo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…