LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sio kweli mkuu, ni lini nimesema hili? Unaweza quote hiyo post yangu? Nachosema ni wayahudi wa sasa ambao 80% ni Ashkenazi Jews sio original Jews maana wametokana na Caucasians wa huko ulaya mashariki kama khazarians etc.

Hii hoja umeitoa wapi? Hitler aliua wayahudi kama wayahudi sababu ya tabia yao ya kuhodhi mifumo ya fedha, ubinafsi, utapeli, riba kubwa etc so whether wangekua wayahudi original or fake issue ilikua tabia yao ndio iliyowaondoa sio dini wala kabila.

Kuhusu palestinians sikusema ni Jews original ila ndio wenye asili kwenye ile ardhi inayoitwa "palestina au israel". Maana wana wa yakobo walikuta tayari kuna watu wanaishi na wafalme wao. Mfano Jerusalem ilikua na mfalme soma mwanzo 13, kulikuwepo neodachlomer, Sihon, Og bin Hunuk n.k.

Hakuna mahala nimewahi sema hii kitu.... palestinians are palestinians why would they need to be original Jews? Kwanza original Jews walishapotea by 90%. Makabila 10 yalipotea utumwani na kuwa absorbed huko persia, Assyria, Babylonia, Ethiopia so hiyo notion ya "original jews" iondoe kwanza maana wamebaki wachache kama sephardic Jews au Falahasha n.k ambao hawafiki hata 10% ya wayahudi wote duniani.

Sio kweli, hata kwenye biblia Israel ilipoteza identity mfano kipindi cha suleiman walikua na miungu zaidi ya 300, mfano kabila la Dani lilifutwa kwenye biblia sababu ya kuwa na miungu kibao. Sio hivyo tu hata Israel ya leo kuna ushoga wanaukubali je ni tamaduni zao?. Hivi pia unajua 20% ya waisrael ni waislam? So sio kweli wote wame uphold jewish culture.

Hoja yako imejengwa kwenye uongo, umesema kitu ambacho sijawahi sema kokote. Ambacho nimewahi sema OLD Jews wana DNA inayoshabihiana na Palestines wa sasa kuliko ambavyo hao old Jews wana uhusiano na Ashkenazi Jews. Yaani sephardic Jews are closer to palestinians than the so-called Ashkenazi Jews.

SIO KWELI, wayahudi halisi ni 20% ya waliopo hapo middle east the rest are scattered all over the world and have been absorbed in other races. Ila nachokubali nilisema PALESTINIANS ndio ORIGINAL inherits wa CANAANA yaani ardhi inayokaliwa leo na taifa la Israel.

Nje kadogo na Mada chief nifundishe namna ya ku- devide comment kama wewe ulivyofanya hapa kama hutojali,kila nikijaribu nashindwa.

Nb:- namaliza ibada ya Christmas narudi kukupa ushahidi wa maneno yako mwenyewe otherwise.
 

Attachments

  • 20231225_141914.jpg
    20231225_141914.jpg
    557 KB · Views: 3
3,000 Israeli Soldiers Have Become Permanently Disabled: Israeli Media

By Al Mayadeen English

22 Dec 2023

As of December 9, the number of IOF soldiers who have been injured since the start of the operation Al-Aqsa Flood has reached 5000.

Israeli broadcaster Channel 12 revealed on Friday that 3,000 Israeli Occupation Forces (IOF) soldiers who sustained injuries as a result of the ongoing Israeli aggression on Gaza have been classified among those with "permanent disabilities in the army."

According to the news broadcaster, the number of IOF soldiers wounded since October 7 has reached 5,000 as of December 9.
 
3,000 Israeli Soldiers Have Become Permanently Disabled: Israeli Media

By Al Mayadeen English

22 Dec 2023

As of December 9, the number of IOF soldiers who have been injured since the start of the operation Al-Aqsa Flood has reached 5000.

Israeli broadcaster Channel 12 revealed on Friday that 3,000 Israeli Occupation Forces (IOF) soldiers who sustained injuries as a result of the ongoing Israeli aggression on Gaza have been classified among those with "permanent disabilities in the army."

According to the news broadcaster, the number of IOF soldiers wounded since October 7 has reached 5,000 as of December 9.
 
3,000 Israeli Soldiers Have Become Permanently Disabled: Israeli Media

By Al Mayadeen English

22 Dec 2023

As of December 9, the number of IOF soldiers who have been injured since the start of the operation Al-Aqsa Flood has reached 5000.

Israeli broadcaster Channel 12 revealed on Friday that 3,000 Israeli Occupation Forces (IOF) soldiers who sustained injuries as a result of the ongoing Israeli aggression on Gaza have been classified among those with "permanent disabilities in the army."

According to the news broadcaster, the number of IOF soldiers wounded since October 7 has reached 5,000 as of December 9.
 
zitto junior unasema hawa Wapalestina wa sasa ndiyo wayahudi orijino, hawa akina Cohen, Alhel etc tunaowajua ni fake.

Unaendelea kusema Hata Adof Hitler aliua wayahudi fake, wayahudi orijino walibaki mashariki ya kati hapo hapo.
Akina mahamudu abba(hammas fighters) ndiyo kizazi cha yakobo.
It might be true some how ila siku moja uje utufafanunulie kwanini humo ndani ya hammas hakuna weusi uzao Sheba?

Na why hawaendi kuungana na hammas (wayahudi orijino kwa mjibu wako)badala yake wanakwenda kuungana na wayahudi fake?

Ama wao pia hawaujui ujuzi huu unaoujua wewe kuwa hao wanaojiita wayahudi wenzao ni fake na wayahudi wenzeo(the legit ones) ni hammas?.

Ukiwa miongoni mwa wasomi ninaowakubali hapa JF ninamini majibu unayo kama ambavyo hukoswi majibu mengine ya historia ya mashariki ya kati.

Nilivyojaribu kuelewa mafafanuzu yako kuhusu Israel na wayahudi ni kwamba hawa akina mahamudu abbas (wayahudi orijino kwa mjibu wako) uislamu ulipowafikia walislim nakuamua kuachana Iman yao ya Kiyahudi, wakaenda mbali hadi kubadili hadi Majina ya Miji yao kutoka majina ya kiebrania hadi Majina ya Kiarabu.

Mfn;- Yeruselm wayahudi wakaibadili jina na kuuita Al-qudus.

Katika history ya Israel imewai kaliwa na Mataifa ya Kigen zaidi ya mara 18 na mara zote hizo hawakuwai kuacha Dini yao,mila zao hata kubadili majina ya miji za ili kukumbatia tamaduni za kigeni.

Sasa nini kilikuja kuwapata baada ya kufikwa na Uislamu?

Kwamba tamaduni na imani za Wagriki hazikuwa na nguvu kwao? Warumi na tamaduni zao ziliendekea kubaki za kipagani machoni pa wayahudi.

Persians nao waliwatawala ila Dini na Tamaduni zao hazikufua dafu machoni pa wayahudi ila tamaduni za waarabu na Dini yao mpya ilipowafikia Wayahudi wakaona Tamaduni na Dini yao ya kiyahudi hazina maana ila tamaduni na Dini ya Makka ndiyo sahihi?

Alafu, hapo katikati (baada ya kifo cha Muhammad)kulitokea nini hasa maana mwanzoni kabisa ya uislamu Muhammad aliwapelekea Mafunuo yake wayahudi, wakayapambanua wakayakataa kabisa kuwa hakuna mkono wa MUNGU katika Mafunuo hayo,hali iliyofanya Mtume Muhammad(PBUH) atangaze uadui nao..

Sasa ilikuwaje baadae wayahudi wayakubali? Nini hasa kilitokea hapo katikati?

Mfn; Wayahudi hawakumkubali Yesu hata kabla hajaja. Akaja, hawakumkubali. Hadi kaondoka,bado hajamkubali. Sasa Maalim wangu Zitto unajua nini hasa kilichopeleka wayahudi kuyakubali mafunuo ya Muhammad wakati mwanzoni waliyakataa hadi ukawa uadui baina ya Muhammad na wayahudi?

Mwisho kabisa narudi kukuuliza swali langu la siku ile. Q'uran kitabu chako cha Iman. Inasema;

Moja ya Dalili ya kiama ni waislamu kuwapiga wayahudi hadi watakuwa wanajificha nyuma mawe,na mawe yatakuwa yanawaambia Waislamu; huyu hapa myahudi kajificha nyuma yangu,njooni mmuue.

Sasa ikiwa akina Jonathan netanyau ni Mayahudi fake ila dunia medanganywa kinyume chake ila wayahudi orijino ni hawa Hammas (wapalestina) so, tutegemee siku moja waislamu kuji- mobilise na kuanza kuua Wapalestina(Wayahudi Orijino)ili kutimiza ili andiko?

Maana binadamu tumedanganywa kuwa wanaojiita wayahudi ni orijino kumbe sio ila Allah hawezi danganywa.
alipotoa ilo andiko alikusudia Wayahudi Orijino, akina mahamudu abbas si akina Netanyau.

Andiko lazima litimie kwa namna yoyote ile. Sasa nifafanulie ipo siku nyie waislamu mtawapiga Wapalestina ili kutimiza ili andiko? Ama nini kitafanyika hapo ilikutimiza ili andiko?

zitto junior wewe ni Miongoni mwa Maguru hapa ebu nifafanulie japo kidogo ili nielewe na nikubaliane totally na Dai lako kuhusu wayahudi.

Picha chini ndiyo waisrael halisi kwa mjibu wa zitto.

View attachment 2852084
View attachment 2852085

Huyu zitto junior na Pro-Palestinians wengi hasa Waislam ambao hawajifunzi kuhusu historia na kujibu kwa hoja na common sense.

Kuna humu kaniambia Wapalestina ndio Israleties na kujenga hoja akaleta reference ya maadui wa Wanaisrael (Wafilisti na Warumi).

Ukweli ni hivi hawa Wapalestina wa sasa wanaopigania Uhuru wa hiyo nchi huwezi ukawaunganisha na Jamii yoyote hapo zaidi ya wahamiaji.

Ukimfata Mahamood Abbas, Umuulize King Solomon alikuwa Mfalme wa Wayahudi au Wapalestina atakujibu kuwa alikuwa mfalme wa Wayahudi, nani alikuwa Mfalme wenu hatowahi kukujibu milele.
 
Ukimfata Mahamood Abbas, Umuulize King Solomon alikuwa Mfalme wa Wayahudi au Wapalestina atakujibu kuwa alikuwa mfalme wa Wayahudi, nani alikuwa Mfalme wenu hatowahi kukujibu milele
Nani kasema Palestinians ni wayahudi/israelites? Ilihali hao waisrael walikuta descendants ya wafilisti yaani makabila kama Amorites, Jebusites, Gilgashites, Hivites, Hittites..... kwanini mnalazimisha kwamba ni lazima kila aliyeishi Canaan/Palestine ni muisraeli? Israel ni wageni kutoka Syria na Iraq sio kwamba ndio walikua naturally kutokea hapo Palestine/Canaan!!
Huyu @zitto junior na Pro-Palestinians wengi hasa Waislam ambao hawajifunzi kuhusu historia na kujibu kwa hoja na common sense.
Mimi sio muislam ni mkristo tena theologian ila I'm pro Palestine maana hao wayahudi hapo sio taifa la Mungu tena walikua agano la kale tu ila kuanzia agano jipya hilo taifa ni kawaida tu kama Tanzania au Iran!!
Kuna humu kaniambia Wapalestina ndio Israleties na kujenga hoja akaleta reference ya maadui wa Wanaisrael (Wafilisti na Warumi).
Huyo kapotosha wala hakuna aliyesema palestines ndio waisrael ila wanachosema wao ni kwamba palestines ni asili yao pale miaka na miaka as in wametokana na ancient canaanite tribes nilizotaja hapo juu. Hao waisrael walitokana na wasyria huko na semitic tribes za Iraq huko.
 
Mimi sio muislam ni mkristo tena theologian ila I'm pro Palestine maana hao wayahudi hapo sio taifa la Mungu tena walikua agano la kale tu ila kuanzia agano jipya hilo taifa ni kawaida tu kama Tanzania au Iran!!
Theologian halaf ndo unaandika haya! anyway kuna theologia nyingi sana🤣 maana ni siku za mwisho hizi...watu wa type yako walishatabiriwa kuwepo....ili ule mwisho ufike....
 
Hao 20% ya waislam wa Israel unajua ni watu wa jamii gani???

Acheni unafiki.....wa historia...hiyo asilimia 20% ni waarabu wa palestina waliochukua uraia wa Israel
Embu soma upya, kama issue ni uislam hao waislam waliopo Israrel si wangekua wanajitoa muhanga? Je na wao wangejiunga IDF kuua waislam wenzao wa Gaza? My point is hapo hakuna cha udini maana hata hao IDF wanaua wakristo na wayahudi wa kipalestina. Wala hakuna niliposema 20% ya Jews (Jamii) ni waislam ila 20% ya Israel (Nchi) ndio waislam.
 
Theologian halaf ndo unaandika haya! anyway kuna theologia nyingi sana🤣 maana ni siku za mwisho hizi...watu wa type yako walishatabiriwa kuwepo....ili ule mwisho ufike....
Nimeandika ndio mbona Bible ndio inasema hayo sio maneno yangu? Acha kukariri mambo mbona Kabila la Dani lilifutwa kwenye makabila ya Israel ilihali Mungu aliahidi hatomtupa hata mmoja?
 
Nani kasema Palestinians ni wayahudi/israelites? Ilihali hao waisrael walikuta descendants ya wafilisti yaani makabila kama Amorites, Jebusites, Gilgashites, Hivites, Hittites..... kwanini mnalazimisha kwamba ni lazima kila aliyeishi Canaan/Palestine ni muisraeli? Israel ni wageni kutoka Syria na Iraq sio kwamba ndio walikua naturally kutokea hapo Palestine/Canaan!!
Mimi sio muislam ni mkristo tena theologian ila I'm pro Palestine maana hao wayahudi hapo sio taifa la Mungu tena walikua agano la kale tu ila kuanzia agano jipya hilo taifa ni kawaida tu kama Tanzania au Iran!!

Huyo kapotosha wala hakuna aliyesema palestines ndio waisrael ila wanachosema wao ni kwamba palestines ni asili yao pale miaka na miaka as in wametokana na ancient canaanite tribes nilizotaja hapo juu. Hao waisrael walitokana na wasyria huko na semitic tribes za Iraq huko.
Kwanza nashukuru kwa kukubali kuwa Palestinians sio Israelites.

Pili naunga mkono kuwa Makabila ya Canaan yalikuwepo kabla ya First Abraham na Isaac kuunda nchi yao, na hata King David aliconqure Jerusalem kutoka kwa Jubesites, Moja ya Makabila ya Wakaanani.
Hiistorical point of view, Israelites was distinct group of Canaanites ambao walijitofautisha na wenzao na kuunda taifa lenye utamaduni tofauti kama Kuabudu Mungu mmoja.

swali langu linabaki pale pale, Wapalestina wa Leo tunawatrace na Kabila lipi Wakaanani na Wapalestina wa sasa
 
Huyu zitto junior na Pro-Palestinians wengi hasa Waislam ambao hawajifunzi kuhusu historia na kujibu kwa hoja na common sense.

Kuna humu kaniambia Wapalestina ndio Israleties na kujenga hoja akaleta reference ya maadui wa Wanaisrael (Wafilisti na Warumi).

Ukweli ni hivi hawa Wapalestina wa sasa wanaopigania Uhuru wa hiyo nchi huwezi ukawaunganisha na Jamii yoyote hapo zaidi ya wahamiaji.

Ukimfata Mahamood Abbas, Umuulize King Solomon alikuwa Mfalme wa Wayahudi au Wapalestina atakujibu kuwa alikuwa mfalme wa Wayahudi, nani alikuwa Mfalme wenu hatowahi kukujibu milele.
"Kuna humu kaniambia Wapalestina ndio Israleties na kujenga hoja akaleta reference ya maadui wa Wanaisrael (Wafilisti na Warumi)".

Sasa hivi anakataa,nasema hakusema hivyo.
Kitendo cha kusema hawa wapalestina wanashea vinasaba kwa asilimia kubwa ana wayahudi wa kale hiyo ni maana tosha na kusema hawa wapalestina ndiyo jews na ha wengine imposter.
Huyu jamaa anatumia elimu yake vibaya.
 
Nani kasema Palestinians ni wayahudi/israelites? Ilihali hao waisrael walikuta descendants ya wafilisti yaani makabila kama Amorites, Jebusites, Gilgashites, Hivites, Hittites..... kwanini mnalazimisha kwamba ni lazima kila aliyeishi Canaan/Palestine ni muisraeli? Israel ni wageni kutoka Syria na Iraq sio kwamba ndio walikua naturally kutokea hapo Palestine/Canaan!!
Mimi sio muislam ni mkristo tena theologian ila I'm pro Palestine maana hao wayahudi hapo sio taifa la Mungu tena walikua agano la kale tu ila kuanzia agano jipya hilo taifa ni kawaida tu kama Tanzania au Iran!!

Huyo kapotosha wala hakuna aliyesema palestines ndio waisrael ila wanachosema wao ni kwamba palestines ni asili yao pale miaka na miaka as in wametokana na ancient canaanite tribes nilizotaja hapo juu. Hao waisrael walitokana na wasyria huko na semitic tribes za Iraq huko.

Kama insu ni hiyo mbona huwashambulii wapalestina maana hata wao hapo si kwao.
Wenyeji wa hiyi ardhi ni wafilisti na sasa hawapo mbona .
Jews na non jews wote si kwao,asili yao ni ni iraq sasa kwanini uone shida kwa Jew kukang'ang'ania hapo ila at the same times unasapot hao upande mwingine?.
Kati ya waarabu na wayahudi ni yupi mwizi wa ardhi kwa mjibu wa fact na nje na chuki zako zisizo na sababu kwa wayahudi?.

Angalia hiyo ramani, kati ya myahudi na mwarabu nani mwizi wa ardhi kwa fact hii?.
 

Attachments

  • received_737633991755939.jpeg
    received_737633991755939.jpeg
    62.3 KB · Views: 2
Nimeandika ndio mbona Bible ndio inasema hayo sio maneno yangu? Acha kukariri mambo mbona Kabila la Dani lilifutwa kwenye makabila ya Israel ilihali Mungu aliahidi hatomtupa hata mmoja?
Siku za mwisho hizi na mojawapo ya dalili ni watu kunena ukengeufu, uwongo, kama vile ni kweli ya Mungu wa biblia na ndicho kinachoendelea.
 
Kusema ukweli hawa magaidi wa hamas wanasababisha mateso sana kwa wazee na watoto.

Wamesababisha watoto wengi kufa ktk mazingira ambayo hawezi kujitetea kwa kujificha au kukimbia.

Magaidi ya Hamas yamechimba mahandaki badala ya kuwaficha watoto wao wapambane ana kwa ana.

Matokea yake wamejificha kwenye mahandaki na juu ya handaki kufanya mashule, mahosptal, nyumba za ibada n.k.

Magaidi haya yanashambulia yakiwa kwenye mahandaki bila kujali inawatesa watoto.

Walisema mwarabu hazikuwa maneno anaskia risasi tu ndio anachofanya Israeli.

Hivyo ningeomba israeli iwachukue watoto wote iwahamishie jordan au misri ili yabaki magaidi tu

Nawaomba sana israeli ifanye hivyo hakuna kitu kinauma km kupoteza mtoto

Hawa watoto wakamatwe wapelekwe nje ya palestine ili magaidi ya Hamas yashugulikiwe vizuri

Kwa wasiotaka kwenda basi watakuwa wamechagua wenyewe
 
Kumbe wanajificha msikitini wanarusha makombora
__

Hezbollah fired from within a mosque in southern Lebanon toward Israeli civilians.

This is not Hezbollah’s first attack involving a holy site today.

Places of worship should be sacred, not sacrificed for terrorism.

source: IDF Instagram official page

Screenshot_20231227-160849.jpg
 
Propaganda as usual mmewashindwa migambo 10 ya Hamas mtawaweza hao!
 
Back
Top Bottom