The best_of _me
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 242
- 486
Hivi huwa unajaribu kuangalia hizo video kabla ya kuzipost? Ulichoandika na video ni vitu tofauti.Kichapo cha leo ni kikali, kilikuwa kinatokea kila upande.
Hamas, Hezbollah na Wayemeni wamewashushia mazayuni makombora kutokea pande saba tofauti kwa masaa matatu mfululizo huko vilima vya Golan.
Hawajala kichapo kikali kama cha leo tokea siku waliyochapwa na Hamas 7/10. Wapalestina wansema wanaisafisha Golan na Kaskazini ya Lebanon kisha wanaingia tel Aviv, wamewaambia waagize risasi za iron dome kwa wingi, walizonayo hazitoshi kuwazuia kutandikwa. Jionee kichapo walichochezea:
View attachment 2857703
Wewe huna uelewa wa media, unataka uwekewe video ya masaa matatu?Hivi huwa unajaribu kuangalia hizo video kabla ya kuzipost? Ulichoandika na video ni vitu tofauti.
Mzee mwenzangu we ni Tasa??Kichapo cha leo ni kikali, kilikuwa kinatokea kila upande.
Hamas, Hezbollah na Wayemeni wamewashushia mazayuni makombora kutokea pande saba tofauti kwa masaa matatu mfululizo huko vilima vya Golan.
Hawajala kichapo kikali kama cha leo tokea siku waliyochapwa na Hamas 7/10. Wapalestina wansema wanaisafisha Golan na Kaskazini ya Lebanon kisha wanaingia tel Aviv, wamewaambia waagize risasi za iron dome kwa wingi, walizonayo hazitoshi kuwazuia kutandikwa. Jionee kichapo walichochezea:
View attachment 2857703
usikimbie dini yako, Wewe ni shogaMimi si fungamani na Imani hizo mbili ambazo Zina waumini wengi hapa nchini. Ila Imani ya kusema kufa shaheed sijui nini, ni zaidi ya uwendawazimu indeed.
Baba yako aliyekuzaausikimbie dini yako, Wewe ni shoga
Nenda kaowe tu!Vita vya Gaza na Palestina kwa jumla vimeibua mambo mengi tuliyokuwa hajtuyajui.
Jeshi lisilokuwa na silaha na idadi yao ni ndogo limejiamini kupigana na jeshi kubwa linalosifika duniani na kulitia hasara.
Mengine kati ya mengi ya kushangaza ni akinamama wa kipalestina wanapgwa na kufukiwa kwenye kifusi wakiinuka juu ama wamekufa au wako hai wamefunikwa na ushungi wengine wanaita hijabu. Hata hawaonekani kuwa na huzuni mpaka sura zao zikawa matimutimu.
Mimi binafsi natamani sana nikaongeze mke wa nne ili nisaidie kulea mayatima. Najua kuna wajane wengi na mayatima wengi wao wamebaki makambini hata ndugu zao hawajulikani baada ya ukoo mzima kuangamizwa.
View attachment 2858156
View attachment 2858157
View attachment 2858162
View attachment 2858192
Bora mimi kidogo ila wewe ni sifuri kabisaWewe huna uelewa wa media, unataka uwekewe video ya masaa matatu?