LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sasa mama hana hatia sio gaidi,hana silaha ya aina yoyote alafu apigwe kweli kuna watu hamna akili.
Kama alivyokuwa Joshua ila wakamuua.
Hawa wametumia ubinadamu sana kwa huyu mama.

Btw, hii clip ni fupi sana kutoa taswira ya tukio zima.
Katika ulinzi kuna mazingira yasiyoruhusu mijadala.
 
We mr uharo acha ujinga bwana mbona heading na video ni tofauti🤣🤣🤣🤣
 
Sijasema kama inauhusiano ila imekua inatoa taarifa
Ishu taarifa wanazotoa ni za kweli ama sio zakweli
Hatujasema kama zina uhusiano ama laa
Taarifa nyingi xina ukweli. Nime share taarifa yao ikisema waliouawa ni 9, ila mleta mada kaleta taarifa tofauti akidai imeandikwa na hao ak7dai waliuawa ni 100, wakati waliuawa ni 9 waliuawa kwenye mlipuko uliotokea kwenye factory ya silaha Hamas
 
Jeshi la Israel kupitia msemaji wake lasema linapajua alipo kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar kazungukwa na mateka wa Israel waliowateka anawatumia kama ngao yaani human shield ili asishambuliwe na jeshl la Israel wameshapaina alipo
 
Jeshi la Israel kupitia msemaji wake lasema linapajua alipo kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar kazungukwa na mateka wa Israel waliowateka anawatumia kama ngao yaani human shield ili asishambuliwe na jeshl la Israel wameshapaina alipo
Basi wamue tu

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Israel kama inataka kuendelea kubaki lazima ikubali yaishe kwa kukubali kuundwa taifa la Palestina waishi kwa ujirani.Kinyume na hivyo hawana nafasi ya kubaki salama kwa kutumia ubabe iliojiamini nao.

Tathmini hiyo inazingatia kwamba upande wa Gaza imebaki jeshi la IDF kutolewa tangazo tu la kushindwa japo kwa uhakika wameshashindwa.

Tangazo hilo bila shaka kwa aibu halitotolewa na IDF bali litajitangaza lenyewe.

Sababu ya tathmini yangu mbali na Gaza ni kuwa upande wa kaskazini ya Israel waliko Hizbollah kumechafuka.Kwa mara ya mwanzo wapiganaji hao wameanza kutumia zile droni za Kamikaze ambapo jana walishambulia makao makuu ya jeshi la Israel yanayoongoza jeshi upande wa kaskazini. Jeshi la IDF limethibitisha kupigwa kwa kambi yake hiyo na bila kutoaji kiwango cha hasara.Muhimu ni kuwa hizo droni zimefika hapo bila kizuizi chochote na zina uwezo wa kupiga sehemu nyengine yoyote ya Israel.

Upande wa ukingo wa magharibi kwenye maeneo mengi vijana wanapigana kabisa na kulitia hasara jeshi la Israel badala ya kukimbia na kujificha kama ilivyokuwa zamani.

ikikumbukwa kuwa kuna kuna kundi jengjine kubwa la Houth linalonyemelea baharini na kwamba washirika wake wako taabani, itaonekana kuwa Israel katika vita vinavyoendelea hatoweza kuishi kwa ubabe na uhasama kwa muda mrefu bila kudhurika kwa maangamizi kamili.

Ni mambo machache upande wa Gaza nimeyataja ijapokuwa kwa sasa kwa matangazo ya channel zao na za mashirika mengine ya habari ni kuwa Hamas wamepata kasi sana katika kuwapiga askari wa Israel kuliko ule muda majengo yalipokuwa yanabomolewa.
 
Israel sasahivi ipo phase ya kuua viongozi makundi ya kigaidi imeshamuua kiongozi mwingine wa Hamas aliyekuwa akirusha maroketi Israel ameuawa akiwa Syria na kiongozi mwingine wa Hezbollah ameuawa jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…