Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Mimi sipo kwa mtoa mada mzee tuelewane tuuuTaarifa nyingi xina ukweli. Nime share taarifa yao ikisema waliouawa ni 9, ila mleta mada kaleta taarifa tofauti akidai imeandikwa na hao ak7dai waliuawa ni 100, wakati waliuawa ni 9 waliuawa kwenye mlipuko uliotokea kwenye factory ya silaha Hamas
View attachment 2866836
Mimi nipo kwenye hio page achana na mtoa mada
Hii page kule imepigwa kalamu kwamba ni fake sijui nini
Nikakuuliza kuhusiana na hio page na taarifa zake
Sasa haya tusimamie wapi kwa wale jamaa waloipiga mkasi ama tusimamie taarifa zao wanazozileta hio page?