LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ndo mnavyodanganyana hivyo masjid nyie mbweha wavaa vipedo pumbafuuu
 
Msiwe wajinga kushabikia vita.hata sisi hatuko salama.ni punguani tu ambaye atashabikia vita.watz ni wajinga sana kwa kudhani vita ni kitu kizuri.hata hizi biashara tunazofanya hatutazifanya tena .watoto,wanawake na pia wazee watakufa kama nzige.hizo vita ni wakubwa wanafanya biashara ya silaha ndo maana unaona kagame anamtunishia dr congo sababu anajua nani yuko nyuma yake.acheni ujinga wa kushadadia vita.
 
Hujui chochote
 
Nyie mjitoe tu ufahamu, kwa akili zenu Iran,Iraq ndo wakupigana vita na USA, UK, France, Israel?
 
Mara hii mmeshamsahau Ebrahim Raisi; hata kichwa halijaacha kiwiliwili! Hivi uchunguzi wa kuuliwa kwake ulifanyika kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ