Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mnavyodanganyana hivyo masjid nyie mbweha wavaa vipedo pumbafuuuMpaa sa ivi wanashauriana na US na UK na France lakini kila mmoja anaogopa moto utakao waka.
Iran, Afghanistan, Iraq, wanasema wataingia hi vita kama hao wakingia.
Iran anamuambia US kama Israel ni mwamba mwachie apigane na Hezbullah sisi wengine tubaki tunatazama nani mshindi 😄
Msiwe wajinga kushabikia vita.hata sisi hatuko salama.ni punguani tu ambaye atashabikia vita.watz ni wajinga sana kwa kudhani vita ni kitu kizuri.hata hizi biashara tunazofanya hatutazifanya tena .watoto,wanawake na pia wazee watakufa kama nzige.hizo vita ni wakubwa wanafanya biashara ya silaha ndo maana unaona kagame anamtunishia dr congo sababu anajua nani yuko nyuma yake.acheni ujinga wa kushadadia vita.Mpaa sa ivi wanashauriana na US na UK na France lakini kila mmoja anaogopa moto utakao waka.
Iran, Afghanistan, Iraq, wanasema wataingia hi vita kama hao wakingia.
Iran anamuambia US kama Israel ni mwamba mwachie apigane na Hezbullah sisi wengine tubaki tunatazama nani mshindi 😄
Kwa nini uuwe akina mama na watoto vitani!?..unawaogopa askari!?Nisisikie mnasema anauwa akina mama na watoto
Anasubiriwa kama atawezaUsanii mtupu magaidi wa kiislamu mbatuma viclip vya uongo kujifariji ,mzee neta keshasema lebanon inakua majivu
Sasa wewe hufurahii Wayahudi kupigwa? Wayahudi si ndio walimtesa Mungu wako? Iweje maadui wa Mungu wako wawe rafiki zako?Propaganda kutoka masjid ubwabwa tu hizo ni muda tena wa kwenda kwenye sala sala. Mnafikiri vita vinapiganwa kwa maneno mitandaoni.
Marekani ashamwambia atapeleka makomando wa NATO kama Gaza? kama bado ngumu kuingia kabisaKama vipi Israel aingie Lebanon Kama alivyoingia Gaza,yaani mazima
Hivi abu ubaida yuko shimo gani pale rafah?Sasa wewe hufurahii Wayahudi kupigwa? Wayahudi si ndio walimtesa Mungu wako? Iweje maadui wa Mungu wako wawe rafiki zako?
Hivi yule Paroko aliyekutwa na viungo vya mtoto mdogo mwenye Ualbino,yupo gereza gani?Hivi abu ubaida yuko shimo gani pale rafah?
Hujui chochoteKatika ulimwengu wa kijasusi, Vita inatengenezwa, mfano,
Rwanda anataka sababu ya kuishambulia TZ,
Anafanya hv"anapiga bomu kambi yake,akitokea mpakani,watu kadhaa wanakamatwa, wakiwa na vitambulisho vya TOSS, au jwatz,tena wanaongea Swahili vzr, "wanakili kuwa, wametumwa na serial ya, TZ? " Hapo,lazima kiwake,
Hiki kinachoendelea Kati ya Hezbollah na Israel, kwamba Hezbollah ameweza kuwa na dhana za Vita za ki sasa, anazirusha kwenye anga ya Israel, bila Israel kujua, kwamba Hezbollah ameweza ku mark kambi zote za jeshi, na vituo vya makombora ndani ya Israel! Na, Israel amesbindwa kuzuia!
Swali huu uwezo, wa Hezbollah ulikuwa wapi wakati Hamas inapigwa? Kwanini hakuwasaidia wa Arab wenzie? Kuwaonyesha target za ku piga!?
Pili tunajua Hezbollah na Hamas bwana wao ni Iran, mbona Iran assets zao,kibao zimepigwa na ha kuweza kujibu kwanini ye ye Hana huu uwezo, ambao wanafunzi, wake wanao?
Hili ni game tu linachezwa, na CIA, Mossad, kuna agents wako ndani ya Hezbollah wanafanya kazi, na Mossad, ndio wanapewa hz mambo, Hezbollah anashangilia, anatafutiwa sababu tu
Kwahiyo Israel hawezi bila msaada wa US? Kumbe alipeleka makomando Gaza na hawakufanikiwa kuwamaliza Hamas wala kuwapata mateka wao!Marekani ashamwambia atapeleka makomando wa NATO kama Gaza? kama bado ngumu kuingia kabisa
Nisisikie mnasema anauwa akina mama na watoto
Sawa tazama basi taifa teule lenu lina zuia media wasitoe aibu zao Hezbullah kachukua video inaonyesha alivyo piga camp yao ya jeshi, afu anawambia mwacheni Israel awambie ni wapi hapo anapajua vizuri sana 😄Ndo mnavyodanganyana hivyo masjid nyie mbweha wavaa vipedo pumbafuuu
dogo hizo clip toka Israel ni Muisrael ndio kachukua yani huyo nikatika malaika wakikristo wanao Linda taifa teule lakikristo 😆Usanii mtupu magaidi wa kiislamu mbatuma viclip vya uongo kujifariji ,mzee neta keshasema lebanon inakua majivu
Nyie mjitoe tu ufahamu, kwa akili zenu Iran,Iraq ndo wakupigana vita na USA, UK, France, Israel?Mpaa sa ivi wanashauriana na US na UK na France lakini kila mmoja anaogopa moto utakao waka.
Iran, Afghanistan, Iraq, wanasema wataingia hi vita kama hao wakingia.
Iran anamuambia US kama Israel ni mwamba mwachie apigane na Hezbullah sisi wengine tubaki tunatazama nani mshindi 😄
Israeli kwa sasa hana hamu tena na Iran baada ya kile kipigoMara hii mmeshamsahau Ebrahim Raisi; hata kichwa halijaacha kiwiliwili! Hivi uchunguzi wa kuuliwa kwake ulifanyika kweli?