Nipe sababu wewe ya kuhamisha uzi wangu; maana kama ingekuwa upuuzi wangefutaHoja nzito unaziona je mwamba kwenye mada yako mwenyewe?
Hukuwahi kusikia nyani haoni k*nd*le?
Nipe sababu wewe ya kuhamisha uzi wangu; maana kama ingekuwa upuuzi wangefuta
Mtumishi!muda wote huo alikuwa anatafutwa Iran, na ameingia kwenye ndoano.
Nasrallah 🐼Mwaka wako huu NETAPANYA vijana wamechoka wanatuma mauwa popote ulipo walipo nduguzo.
Baby acha kupost Propaganda, tujadili Watu Munafiki kwenye nchi za Kiarabu, Hezbollah imeingiliwa na Waisrael vibaya sana.Hamas na hezbollah watembeza kichapo kwa mazayuni:
View: https://www.youtube.com/live/zS6B4BDU53s?si=1DZuka5brpH52xay
Wamefika buku 42 sasa na ushee😅😅😅Wamepewa chai 😂😂😆
Hamas bwana wameona Dunia imepua wameamua kukiwasha tena huko na Sasa tutarajie mauaji ya zaidi ya Wapalestina Buku Hadi buku 2 wakati Kafiri Akilipiza Kisasi 🤪🤪