LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mnadhani saudia Arabia itakubalii iingilie uo mdogoo? Haiwezi. Haiwszi kuifanya Dubai iwe maghofu.. ndio maana unaona hata mtoto wa mfalme anakua against nao
 
Usianzishe ugomvi wa Kifo ikiwa unatia huruma ukipelekewa Moto endelea kucheka km ulivyoanza kucheka usilie forget about religion we're talking about life & death right here
Unajua nini bana wewe,
Ukilewa kazi kupayuka tuu.
 
Mkristo mpumbavu tu ndio anaweza kusapoti Israel ambao wapo kinyume hata na Mungu.kwa mfano wanaosapoti ushoga,wanawatesa wapalestina mpaka wapalestina wameamua kulipa.
ishu ya ushoga ipo tangu zama za sodoma na gomora, ni suala pana katika mataifa ya dunia. Amerika na ulaya wameamua kuliweka wazi na mashoga wana vyama vyao.

Ni nchi za afrika na asia tu ndizo hazijaweka mambo hayo wazi ila yapo, tena hata bongo ushoga upo kitambo tu hususani Dar.

Huwakumbuki akina anti abuu, anti kaoge na wengine wengi waliokuwa wazi kujisadifu bila woga kuwa ni mashoga konki?

Suala la waisral na wapelestina mgogoro wao ni wa kihistoria si wa leo na haijulikani utaisha lini licha kuwa na wanasuluhishwa lakini baada ya muda vinaibuka vikundi vya wapiganaji kuishambulia israel
 
Your browser is not able to display this video.



Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Juzi Wapalestina walikuwa wanasherehekea mitaani, sasa wanapaza sauti kuilaani Israel na kuomba mataifa mengine yawasidie.

Mungu wabariki Waisraeli, Mungu ibariki Israel.
 
Silaha hizo zinafahamika kama "white phosphorus bombs" ni aina ya incendiary weapons ambazo zina madhara makubwa ya kusabisha moto katika kila kitu itakachogusa na kukiyeyusha hata iwe chuma cha pua. Kwa binadamu madhara yake hayaelezeki.

Silaha hizo ni moja kati ya silaha zilizopigwa marufuku kutumika katika makazi wanamoishi watu au vitani na Umoja wa mataifa (UN).

Hii ni mara ya pili kwa Israel kutumia silaha hiyo ukanda wa Gaza. Mara ya kwanza ilikuwa ni katika mapigano ya 2008-2009 (Rain of Fire: Israel's Unlawful Use of White Phosphorus in Gaza)


View attachment 2776905View attachment 2776907

Source: PTVBreaking
 
Wakristo hawana tabia za kuua watu na kulazimisha watu wawe waislam huoni hao magaidi wanaua na kusema Allah akbar.? Wapi kwenye bibblia kuna Allah Akbar ?
 
Hao israel wafanye mpango waje na huku tuwape eneo..
Watupe umeme..maji..na miundombinu mingine ya uhakika..
Mbona wenye uhitaji tupo
 
Heavy exchanges of fire on Lebanon border: more terror infiltrations suspected, residents told to go into secure rooms; Israeli forces & attack helicopters mobilized.
 
Hapa Sasa Kuna tatizo, maana ulikuwa unaelezea historia halafu reference Yako ni Quran, nimechallenge tu kuhusu tarehe ya matukio unayoelezea na tarehe ya QURAN umesema nikawaulize tena hao Wana wa israel. Wakati Mimi nimekuuliza Wewe uliyekuwa unaelezea historia.

Tafadhali Nielezee kwa ushahidi hiyo historia.
Believe me, Mimi sio biased kivyovyote vile maana Sina interest na upande wowote hapo. I'm Purely Afrocentric.
Kwangu Mimi Quran,Biblia,Veda nk. Ni vitabu tu kama vitabu vya Shaban Robert au Ngugi wa thiong'
 
Tuache kuandika kishabiki, weka hapa source ya hii habari coz hata Google wenyewe hawamtambui Shekhov Soram, mtu mkubwa kama huyu vyombo vingi vya habari vingeandika habari yake
 

Sijaelewa nini umeandika maana nafuatilia sana kinachoendelea kwa sasa na hamna ulichoandika kinaendana na tunachoshuhudia, kimsingi wavaa makobaz wameminywa, misikiti ikasambaratishwa na maafa mengi tu na bado Israel haijaanza kulipiza kisasi.

 
WAliofanya hicho kitendo ni Hamas walipiziwe wao siyo watoto na wanawake ambao hata bunduki hawaijui
Hamas wenyewe wanatumia hao hao wanawake na watoto kama human shield. Unafikiri missile itajua kuwa huyu ni mwanamke au mtoto? Mbinu hizi za Hamas ndizo zitasababisha collateral damage iwe kubwa. Kama kweli wako ngangari waondoke kwenye maeneo ya raia wakazichape kavu kavu huko man to man!

Vita havina macho ati!
 

Yaani mshambulie kwa maroketi mkijibiwa mnaanza kuandika andika filosofia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…