LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mzee, hii hoja haina mantiki. Kama ingelikuwa na mantiki dunia isingekalika!

Kuna jamaa alitoa mfano humu kuwa wamasai kwa imani yao ng'ombe wote ni kwa ajili yao wapo chini yao.

Kwa imani hiyo Mmasai aitumie kila akikuta ng'ombe ajibebee tu kisa kwa kile wanachoamini wao?

Au waje mabudha kutoka mataifa tofauti wadai kuwa Budha amewaambia nchi yao ya ahadi ni Tanzania hivyo tuliyomo Tz inatubidi tuondoke wewe utaondoka? Kisa imani yao ya kibudha? Au kila ng'ombe mmasai ana haki ya kumchukua tu kisa imani yao?

Ukanda wa Kilwa ilikuwa ni dola ile inayojitegemea na mpaka imeandikwa kwenye kitabu cha Ibn Batuta. Ilikuwa inatawaliwa na waajemi (Iran).

Iran akija leo akisema ni sehemu ya kwao kisa waliambiwa ni urithi wao kwa imani zao za kale wewe kama mtanzania utakubali kulitoa eneo lote la Tanzania lilikuwa Dola ya Kilwa ya zamani?
Mkuu kwanza mfano wako wa Kufananisha na Masai hauendani na uhalisia wa Hawa jamaa wa Israel!! Mm nilikuliza asili ya Ng'ombe ni ipi? Jibu litakuja hao ni viumbe ambao na wenyew wameumbwa kama Binadamu na Kila mtu ana haki ya kuvimiliki.

Lakin hao Israel hapo ni kwao na asili yao ni hapo Umetoa mfano mzuri kuwa kuhusu Kilwa Kuwa ilikua ikitawaliwa na wajemi? Swali ni Kuwa hao wajemi walikua wa Kuja au ni asili yao ni hapo Kilwa?

Leo Mtu akija akwambie hama Tz sabab hii aridhi siyo yako je utakubali? Jibu ni hapana kwann kwa sabab hiyo Aridhi ni ya Mababu na Mabibi zako ulio rithishwa tangu enzi enz na mda mwingine kunakua na vielelezo kama makaburi nk.

Sasa ni Kama Israel Mungu aliwapa Aridhi lakin kwa sabab kulikuwapo utawala Wa Kibabe ndo ulikua unawaondoa kwenye aridhi yao na hapo ndo hao wapalestina na Nchi jirani zikawa zinajichukulia Aridhi,, lakin hiyo haiondoi ukweli Kuwa hiyo Aridhi ni ya Israel na Mungu aliwapa waimiliki milele Soma👇
Mwanzo 17 : 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.
Hapo Ni Mungu akimwambia Ibrahim. Na alimpa ahadi kede kede juu ya Taifa hilo
 
Mbona kama hii conflict ya Hamas vs Israel ni faida sana kwa NATO na US kwa sababu walikuwa wanapigika sana kule Ukraine na media nyingi now zimefocus kwenye hii conflict na kutusahaulisha yale ya Ukraine ya kulalamika kuishiwa ammunitions
 
BREAKING:
German internet users have been able to identify one of Hamas men who murdered the 22-year-old German-Israeli Shani Louk (the woman whose body was seen on a pick-up truck)His name is Mahmoud Abourjila

Mahmoud Abourjila was identified thanks to having uploaded a number of pictures to his Google phone account which shows him wearing the same polo-shirt, pants and sandals as he is wearing in the infamous video with him holding Shani's hair on top of the pick-up truck
Most of the pictures uploaded on his phone's Google account have tagged locations.

Most of them are ca 15km from where Shani was attacked.

In a picture dated from August 22nd, he was wearing the same same polo-shirt as Shani's murderer from the pick-up truck video.
20231009_173516.png
20231009_173523.jpg
20231009_173830.jpg
 
MSAKO SAFISHA GAZA, Wamelitaka wenyewe. Wamechokoza nyuki.. walikua wanaua na kujipiga selfie sasa wanapata comeback wanaanza kulialia
20231009_173042.jpg
 
Kabla ya Isaka mtoto Alie zaliwa alikua anaitwa Ishmael ambaye Ibrahim alizaa na kijakazi wake ambaye alikua akiitwa hajira
Soma👇
Mwanzo 16 : 2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16 : 15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.

Baada ya hapo Sarah akamchukia Yule kijakazi ambaye ni Hajira akamtesa mpaka yule Kijakazi akakimbia lakin hata hivyo Biblia inasema Mungu alimrudisha.
So Kibiblia haionyeshi alienda wapi Ishmael alienda wapi lakin ukisoma history yake alienda inaonyesha Ishamel aliishi pande za Shuru kuelekea Misri!! Soma👇
Mwanzo 25 : 17 Na hii ndiyo miaka ya maisha ya Ishmaeli, miaka mia na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.
Mwanzo 25 : 18 Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.
Hapa inaonyesha baada ya kufa so alipo zikwa Sasa na hii inaonyesha hayo ndo makao yake na kunaa baadhi ya Wana theology huwa wanasema Ishmael ndo alikua Babu wa Mohammad yule wa Waislamu na ndo Chimbuko la Kislmu limetokea hapo na pia wanasema ndo mtu wa kwanza Kuzungumzia Ki-arabu.


Kuhusu Urithi wa Ishmael Mungu alimbariki sana alimpa aridhi na aliapa atamfanya Kuwa Taifa kubwa soma👇
Mwanzo 17 : 20 - Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Lakini pia unaweza soma Mwanzo hiyo Sura 25 nzima utaona uzao wa Ishmael
Unaweza fuatilia Mkuu Ili ujue kiundani zaidi.

Esau inaonyesha baada ya Kuwa na Ugomvi Mkubwa na ndugue Esau alihama kutoa nchi ya ndugue akaelekea katika Nchi ya Seiri katika Nyika ya Edomu ambayo kwa Sasa ipo Yordani .
Soma👇
Mwanzo 36 : 8 Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Piah ukisoma hapa inaonyesha Kuwa Ujumbe unatumwa kwenda Esau ambaye alikua ktka makazi yake.
Mwanzo 32 : 3 Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.

Unaweza fuatilia ujue zaidi Mkuu
nakifahamu unachokiandika ndo maana kwa faida ya jukwaa nimeuliza ili wadau wajue kuwa kuna mengi yanafichwa sana kwa habari ya hao jamaa wanaotandikana hapo mashariki ya kati. Na bahati mbaya tumelishwa matango pori na tunaishi na habari za upande mmoja tu. Ukirejea history ya hao watoto wa Yakobo, utaona walipokuwa wakitoka Misri, kuna nchi waliikwepa sababu ilikuwa ikikaliwa na ndugu zao, hao waliokwepwa hapo ili wasigombane ni wa uzao wa Ishmael au Esau??

Tuendelee kujifunza zaidi, ipo siku kweli itauweka ulimwengu huru na kila kitu kitakuwa wazi.
 
Hivi mnashinda kwa raha gani watz??Hivi mna habari kuwa mkuu wa kikosi cha jeshi la Israel cha kupambana na ugaidi ambaye amehusika na mauaji ya viongozi wengi wa Hamas na Palestina amekwishadakwa na Hamas?

Kupatwa kwa taifa teule! Huyu sijui watamfanya nini nashindwa kuimagine

BREAKING: Absolutely massive news out of Gaza!!!!!!!!!! Saraya al-Qassam has just captured Commander Shekhov Soram of the elite 'Israeli' counterterrorism unit, YAMAM! [https://abs-0] [https://abs-0] Who is Commander Soram, you ask?!?!?!?!? This HAT-RAT [https://abs-0] [https://abs-0] is one of the killers of none other than Lions' Den [https://abs-0] founder Ibrahim al-Nabulsi (R.A.), who was murdered by multiple IOF battalions on August 9th, 2022!View attachment 2776830
hamas sio makatili,alikamatwa askari gillad myahuni na walikaa nae zaidi ya miaka 10 lakini walipomuachia wala hakuwa na dosari yoyote
 
nakifahamu unachokiandika ndo maana kwa faida ya jukwaa nimeuliza ili wadau wajue kuwa kuna mengi yanafichwa sana kwa habari ya hao jamaa wanaotandikana hapo mashariki ya kati. Na bahati mbaya tumelishwa matango pori na tunaishi na habari za upande mmoja tu. Ukirejea history ya hao watoto wa Yakobo, utaona walipokuwa wakitoka Misri, kuna nchi waliikwepa sababu ilikuwa ikikaliwa na ndugu zao, hao waliokwepwa hapo isi wasigombane ni wa uzao wa Ishmael au Esau??

Tuendelee kujifunza zaidi, ipo siku kweli itauweka ulimwengu huru na kila kitu kitakuwa wazi.
Asante Mkuu kwa kuelewan hapo
Kama sikosei ilikua Nchi Ya Esau maana uzao wa Yakobo Na Esau haujawai kuelewana walikua wanagombana sana na kuna mda waligombana sana.

Lakini piah kalikuwepo kanchi kanaitwa Ai haka Kanchi piah kaliwasumbua sijui kalikua ni upande upi Wa Ishmael ama Esau lakin Badae kalivamiwa kwenye utawala wa Sauli kakapigwa vibaya mno.
 
this time middle east countries wameamua kuikomboa palestina,, trust me marekani kumuua GEneral Suleiman was a wrong move,, wanajua wanahali tete,, tena dola inaenda kufa rasmi.
Ndugu mimi namini kabisa nchi za Europe, US na Nato hawataweza kumsaidia Israel zaidi ya kelele tu, Mrusi kisha wafilisi na hi point ndio Hezbullah yuko wazi kabisa US hawezi msaidia Israel zaidi ya hapo hizo silaha walizo peleka zitaisha. Na hapo ndio Israel watapokea kipigo takatifu kutoka Iran
 
No food, no water, no gas, no electricity yani hawa Punguani kila kitu walikuwa wanategemea kwa watoto wa Yakobo. Wameyatimba vibaya sana, Gaza inapukutika, vigenge vyenu unavyoswalia vinachamvuliwa mpaka nondo moja moja.Mkong'to upo pale pale
Na baada ya vita kuisha, njaa inaanza rasmi, jumlisha na hali mbaya ya uchumi watakayo kuwa nayo wizi utaanza, wizi na ujambazi husababishwa na njaa kali.

Je, walijipanga?? Au bado wanamsikilizia Iran?

Russia kabla hajamvamia Ukraine alijapanga vizur sana, alijua vikwazo atakavyo wekewa na madhara yake, alihakikisha hata kama mambo yakienda vibaya, food reserves anazo za kutosha za kumlisha kila mwananchi kwa miaka mingi, wenzetu wana akili hawajiingizi kweny vita bila kuhakikisha mambo yapo vizur nyumbani.
Hawa Palestine kumbe hata percentage kubwa ya umeme ulikuwa unatoka Israeli, aisee nawaonea huruma sana hawa jamaa, vita ikiisha watakufa njaa na wataanza kugeukiana.
 
Kabla ya Isaka mtoto Alie zaliwa alikua anaitwa Ishmael ambaye Ibrahim alizaa na kijakazi wake ambaye alikua akiitwa hajira
Soma👇
Mwanzo 16 : 2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16 : 15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.

Baada ya hapo Sarah akamchukia Yule kijakazi ambaye ni Hajira akamtesa mpaka yule Kijakazi akakimbia lakin hata hivyo Biblia inasema Mungu alimrudisha.
So Kibiblia haionyeshi alienda wapi Ishmael alienda wapi lakin ukisoma history yake alienda inaonyesha Ishamel aliishi pande za Shuru kuelekea Misri!! Soma👇
Mwanzo 25 : 17 Na hii ndiyo miaka ya maisha ya Ishmaeli, miaka mia na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.
Mwanzo 25 : 18 Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.
Hapa inaonyesha baada ya kufa so alipo zikwa Sasa na hii inaonyesha hayo ndo makao yake na kunaa baadhi ya Wana theology huwa wanasema Ishmael ndo alikua Babu wa Mohammad yule wa Waislamu na ndo Chimbuko la Kislmu limetokea hapo na pia wanasema ndo mtu wa kwanza Kuzungumzia Ki-arabu.


Kuhusu Urithi wa Ishmael Mungu alimbariki sana alimpa aridhi na aliapa atamfanya Kuwa Taifa kubwa soma👇
Mwanzo 17 : 20 - Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Lakini pia unaweza soma Mwanzo hiyo Sura 25 nzima utaona uzao wa Ishmael
Unaweza fuatilia Mkuu Ili ujue kiundani zaidi.

Esau inaonyesha baada ya Kuwa na Ugomvi Mkubwa na ndugue Esau alihama kutoa nchi ya ndugue akaelekea katika Nchi ya Seiri katika Nyika ya Edomu ambayo kwa Sasa ipo Yordani .
Soma👇
Mwanzo 36 : 8 Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Piah ukisoma hapa inaonyesha Kuwa Ujumbe unatumwa kwenda Esau ambaye alikua ktka makazi yake.
Mwanzo 32 : 3 Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.

Unaweza fuatilia ujue zaidi Mkuu
Asante kwa somo zuri mkuu.
 
Mbona kama hii conflict ya Hamas vs Israel ni faida sana kwa NATO na US kwa sababu walikuwa wanapigika sana kule Ukraine na media nyingi now zimefocus kwenye hii conflict na kutusahaulisha yale ya Ukraine ya kulalamika kuishiwa ammunitions
Kuna Technique unachezwa hapo Mkuu tunafichwa tu maana kule Ukraine saiv hamna habari na US ni wajanja sana wale Jamaa
 
Ndugu mimi namini kabisa nchi za Europe, US na Nato hawataweza kumsaidia Israel zaidi ya kelele tu, Mrusi kisha wafilisi na hi point ndio Hezbullah yuko wazi kabisa US hawezi msaidia Israel zaidi ya hapo hizo silaha walizo peleka zitaisha. Na hapo ndio Israel watapokea kipigo takatifu kutoka Iran
Urusi yupo busy anazurura kwa kiduku kuomba mgruneti na vifaa vya kuchimbia mitaro kwisha kazi yake huyo nabii wenu putin hatoki kwenye mahandaki sasa atawezaje kuwafilisi US na Europe ambao wako free?
 
Kuna Technique unachezwa hapo Mkuu tunafichwa tu maana kule Ukraine saiv hamna habari na US ni wajanja sana wale Jamaa
Wakuchezee wewe ili wafaidike na nini kutoka kwako kwani RT si ipo fungulia usikilize na kuangalia sio lazima ukeshe CNN BBC na Aljezira au kwenye social media za west kama facebook whatsapp au X kesha kwenye hiyo midude yenu isiyokuwa na watumiaji
 
Naona mji wa Sodoma & Gomora unaenda kupigwa kiberiti Mchana kweupe MUNGU kashakunja ndita hakuna hata sisimizi atakaebakia salama awamu hii
Eti Mungu kakunja ndita
Nimecheka

Jmn hapa tumeambiwa isarel haina kitu itapigwa ...
Mi nimesema yangu macho
 
Back
Top Bottom