We ni mhuni tu s
Maana yake mungu mkubwaWakristo hawana tabia za kuua watu na kulazimisha watu wawe waislam huoni hao magaidi wanaua na kusema Allah akbar.? Wapi kwenye bibblia kuna Allah Akbar ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mhuni tu s
Maana yake mungu mkubwaWakristo hawana tabia za kuua watu na kulazimisha watu wawe waislam huoni hao magaidi wanaua na kusema Allah akbar.? Wapi kwenye bibblia kuna Allah Akbar ?
Mzee unazingua, KRISTO hajatufundisha hivoSafi Sana.. 👏👏👏👏👏👏👏
Wale waliokuwa wanasifia Israel kuvamiwa na kuona km hamas wamefanya kitu Cha kishujaaKuna zaidi ya hizo. Hivyo vifusi vya majengo kwa sasa ni makaburi ya muda.
Gaza hapaingiliki wala kutokeka, hakuna huduma inaenda, no maji, no umeme no madawa no chakula.
Hao mashabiki wa mitandaoni hawajui watendaloWale waliokuwa wanasifia Israel kuvamiwa na kuona km hamas wamefanya kitu Cha kishujaa
Siwaoni Tena....
YesIla hao Palestine c ndio wameanza kuliamsha !?
Wanqpongezana na Gaza kimenukaMagaidi mnapongezana ila ni mapema mno na safari hii ndio wale mabikra watakuwa na wakati mgumu sana kwani hiyo jehanamu yao itajaa mashahidi kibao. Ngoja tuone.
Mimi ni MKRISTO PURE toka ninazaliwa, tumefundishwa anayeibariki Israel atabarikiwa na anayeilaani atalaaniwa.
Hapo nimeongea madhara yatokanayo na vita pasipokujalisha vita hiyo inapiganwa Israel/Africa/Ukraine/Palestine au Bolivia.
Hamas wamechezea sharubu za SimbaKimsingi unapofyatua maroketi kwenda kwa makazi ya watu, tena dhidi ya taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, usitegemee wakuimbie taarab, lazima utajibiwa tena kwa nguvu kali sana na wala usilie lie.
Namba ya Wapalestina watakaokufa takuwa zaidi ya mara 2 ya Waisrael waliouwawa.Wapigwe mpaka wakenue mpaka sasa waisrael wengi ndio wamekufa wapare stina wachache tu ndio wamekufa kwa hio hapo ni ukiweka mguu nakuwekea jiwe
No comment,Israel haiwezi kupigana na Hizbullah na wao wanajua.
Hizbullah hawatumii tena roketi kama Hamas. Lile ni jeshi kamili. Na kama unakumbuka Israel aliivamia Lebanon na jeshi la nchi kushindwa kuilinda nchi ndipo Hizbullah wakaingia vitani. Israel alichezea kichapo! Alipigwa ndani ya Lebanon na nyumbani kwake.
Hamas ni kakikundi tu ambacho hakina ndege vita, ADS, kwa ufupi si jeshi kamili. Ukipima kwa haraka haraka utagundua Israel bado ni mwepesi. Haiwezi kikundi kidogo uite mpaka reserve ya wanajeshi 3,000,000.
Na ukitaka kuangalia uoga wake ameshindwa kuingia ndani ya Gaza anachofanya ni kurusha tu mabomu. Angeingia Gaza kuwasaka kabisa kama Mrusi alivyofanya Ukraine. Ila hili hawezi kwa sababu nguvu ya Israel ni anga.
Si ajabu hata kidogo. Hata Samsoni alitiwa mikononi mwa Wafilisti kwa sababu maalum.Hivi mnashinda kwa raha gani watz??Hivi mna habari kuwa mkuu wa kikosi cha jeshi la Israel cha kupambana na ugaidi ambaye amehusika na mauaji ya viongozi wengi wa Hamas na Palestina amekwishadakwa na Hamas?
Kupatwa kwa taifa teule! Huyu sijui watamfanya nini nashindwa kuimagine
BREAKING: Absolutely massive news out of Gaza!!!!!!!!!! Saraya al-Qassam has just captured Commander Shekhov Soram of the elite 'Israeli' counterterrorism unit, YAMAM! [https://abs-0] [https://abs-0] Who is Commander Soram, you ask?!?!?!?!? This HAT-RAT [https://abs-0] [https://abs-0] is one of the killers of none other than Lions' Den [https://abs-0] founder Ibrahim al-Nabulsi (R.A.), who was murdered by multiple IOF battalions on August 9th, 2022!View attachment 2776830
We tatizo unamini propoganda za US na Europe si wanamsaidia Israel sa ona kila mmoja anakimbia kuchukua rai wakeUrusi yupo busy anazurura kwa kiduku kuomba mgruneti na vifaa vya kuchimbia mitaro kwisha kazi yake huyo nabii wenu putin hatoki kwenye mahandaki sasa atawezaje kuwafilisi US na Europe ambao wako free?
NimeelewaMaana yake mungu mkubwa
Kitu ambacho kimeniacha hoi ni kama ulivyosema. Mimi nilidhani litaingia Gaza kupambana wao wanaangusha mabomu.Leta ushahidi wa hayo unayo sema na sio kubwabwaja.
Unajaribu sana kuipamba na kuikuza Israel lakini uhalisia wake unakuumbua lakini ww bado tu ume kaza fuvu.
Ulianza unasifia ufanisi wa Mosad lakini leo hii Israel ina pigwa ambush ya kipumbavu na kizembe kabisa iliyo leta maafa ambayo sidhani kama hata tz inaweza kupigwa ambush ya kipuuzi namna hiyo.
Mara jeshi la Israel ni bora lakini zaidi ya wanajeshi 5000,wa Israel wame tumia zaidi ya siku tatu kupambana na wanamgambo wasio zidi mia mbili wenye silaha duni walio kuwa wameteka maeneo huko kusini mwa Israel.
Jeshi bora badala liingie kwenye medani lipambane, lenyewe limekomalia kupiga majengo kutoka angani kwani majengo sasa hivi huwa yana pigana?
Eti he bora lime kusanya zaidi ya wanajeshi laki 3 kwenda kupambana na kundi lenye wapiganaji wasio zidi 10,000 hiki ni kichekesho kikuu😀😀😀😀😀😀😀.
Eti leo hii jeshi bora limekuwa la kutegemea kutumia njaa kama silaha ili kumdhohofisha adui.
Una pigana siku mbili na kikundi cha wahuni kama Hamas unakata pumzi mpaka unaanza kuomba silaha kutoka Marekani alafu ujiweke mbele ya Iran si uta pakwa mafuta mchana kweupe?
Wapare stina wawamalize waisrael?Yes
Tena Kuna watu humu wanewasifia kwamba Wana nguvu watawamaliza isarel
Nasubiri Israel imalizwe