johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yoav Gallant Waziri wa Ulinzi wa Israel amesema wameizunguka Gaza na hawataruhusu Chakula, Umeme wala Mafuta kuingia
Tunapigana na Binadamu Wanyama sana na Sisi lazima tuwatendee hivyo hivyo, amesisitiza
Watanzania tuzidi kuwaombea ndugu Zetu wa Palestine!
Tunapigana na Binadamu Wanyama sana na Sisi lazima tuwatendee hivyo hivyo, amesisitiza
Watanzania tuzidi kuwaombea ndugu Zetu wa Palestine!