Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who the looser anaepoteza mateka 45 watazaliwa wengine na ànaefutwa kabisa gaza mileleHawa waliokosa Mateka hata mmoja wa dawa Kwa siku 45,pole sana.
Akiwa kama mwanadamuMarko 15:34
34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha.
Ungewahubiria kwanza hao waisrael mnaoshabikia humu wampokee yesuUmekubali kuwa yesu ni mungu yohana 1:1 na isaya 9:6 mkubali yesu na achana na kujifunza kiarabu et peponi mtakuwa mnaongea kiarabu
Toa Hilo neno kama Eka" ni"Akiwa kama mwanadamu
Akiwa kama mwanadamu.Toa Hilo neno kama Eka" ni"
Yn 8:40
Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo.
Nyuki zisiwaumeWao wakati wanachokoza mzinga walitegemea nini
Jamani huyu mtoa mada ni kichaa hayuko sawa anacho ongea ni kama vile Hamasi anaomba msada 😄
Wapi Hamasi kaomba msada kwa Mrusi, Mchina na huyo Elon Musk 😄
Kumwambia aende kuona ujinga wa Israel wakuvunja majumba au mengine ni kosa? Haya Israel kavunja majumba na telecommunications centre Hamasi kashindwa vita? Umeona wanaume wanatoa matekwa pale North Gaza na Israel anadanganya watu kaishika yote North Gaza 😄
Huyo Israel sialitumia njia ya baharini na magari ya freezers kuingiza jeshi Lake na vifaru unadhani vingepita kwenda Al shifaa hospital.
Unambiwa nusu la jeshi lilio kwenye mipaka ya Gaza wamekimbia hawataki kurudi vitani, afu we unaleta story za eti Hamasi anaomba msada kwa Elon Musk hebu we tuambie Hamasi anataka msada upi kwa Elon Musk
Ukiambiwa huna akili unabisha tuambie basi Elon Musk atawapa kitu gani Hamasi 😄
Afu habari zako kutoka Jpost gazeti la Israel kapime akili zako labda kuna fuse hazifunction sawa
Hawa majitu hutumia ubongo au nini haswa, walitegemea iweje baada ya wao kuchokoza Israel......
Wanalia lia kote, mara waende kwa Mchina, mara Mrusi, mara Elon Musk...
Kwa kifupi suluhu lipo mbona, temaneni na Wayahudi, acheni kuwachokonoa, wale ni makatili na mtakufa sana...
A Hamas senior official invited US billionaire Elon Musk on Tuesday to visit the Palestinian Gaza Strip to see the extent of destruction caused by the Israeli bombardment.
"We invite him to visit Gaza to see the extent of the massacres and destruction committed against the people of Gaza, in compliance with the standards of objectivity and credibility," Hamas' senior official Osama Hamdan said in a press conference in Beirut.
![]()
Hamas senior official invites Elon Musk to visit Gaza
On Monday, Elon Musk, the social media mogul assailed for his endorsement of an anti-Jewish post, toured the site of the Hamas assault on Israel.www.jpost.com
ila waislam kichwan mna kaukichaa sio bure , kosa la idf kuwaonea huruma kuwapa ceasefireJamani huyu mtoa mada ni kichaa hayuko sawa anacho ongea ni kama vile Hamasi anaomba msada [emoji1]
Wapi Hamasi kaomba msada kwa Mrusi, Mchina na huyo Elon Musk [emoji1]
Kumwambia aende kuona ujinga wa Israel wakuvunja majumba au mengine ni kosa? Haya Israel kavunja majumba na telecommunications centre Hamasi kashindwa vita? Umeona wanaume wanatoa matekwa pale North Gaza na Israel anadanganya watu kaishika yote North Gaza [emoji1]
Huyo Israel sialitumia njia ya baharini na magari ya freezers kuingiza jeshi Lake na vifaru unadhani vingepita kwenda Al shifaa hospital.
Unambiwa nusu la jeshi lilio kwenye mipaka ya Gaza wamekimbia hawataki kurudi vitani, afu we unaleta story za eti Hamasi anaomba msada kwa Elon Musk hebu we tuambie Hamasi anataka msada upi kwa Elon Musk
Ukiambiwa huna akili unabisha tuambie basi Elon Musk atawapa kitu gani Hamasi [emoji1]
Afu habari zako kutoka Jpost gazeti la Israel kapime akili zako labda kuna fuse hazifunction sawa
Mkuu, mkuu, mkuuuu nimekuita mara tatu, amimi amini nakwambia utapoteza muda wako bure kutafuta kuiona mantiki katika matendo yoyote ya wasaka bikra 72. Hayo manyangau HAYANA AKILI HATA punje moja.Hawa majitu hutumia ubongo au nini haswa, walitegemea iweje baada ya wao kuchokoza Israel......
Wanalia lia kote, mara waende kwa Mchina, mara Mrusi, mara Elon Musk...
Kwa kifupi suluhu lipo mbona, temaneni na Wayahudi, acheni kuwachokonoa, wale ni makatili na mtakufa sana...
A Hamas senior official invited US billionaire Elon Musk on Tuesday to visit the Palestinian Gaza Strip to see the extent of destruction caused by the Israeli bombardment.
"We invite him to visit Gaza to see the extent of the massacres and destruction committed against the people of Gaza, in compliance with the standards of objectivity and credibility," Hamas' senior official Osama Hamdan said in a press conference in Beirut.
![]()
Hamas senior official invites Elon Musk to visit Gaza
On Monday, Elon Musk, the social media mogul assailed for his endorsement of an anti-Jewish post, toured the site of the Hamas assault on Israel.www.jpost.com