LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Vita ya kiuchumi dhidi ya Israel inayoendeshwa na Yemen kwa nafasi yao vimezidi kushika kasi baada ya kuipiga meli nyengine ya mizigo iitwayo Aljasrah ikielekea Israel.
Meli hiyo ilikuwa ikipeperusha bendera ya Liberia.Kuonesha ukali wa vita hivi meli za kivita za Marekani,Israel na Ufaransa ambazo zimekuwa zikivinjari maeneo hayo zimekiri kutokea kwa shambulio hilo na hawakuweza kulizuia.
Yemen Houthis Taifa teule
 
Israel si alijidai kupele Meli ya vita mbona kakimbia [emoji1]

America katisha Yemen akamuita we kama mwanaume sogea. Kakacha kanza kuomba Saud Arabia na nchi za Gulf pamoja na Misri na Morocco wapigane na Yemen, naona leo wamefanya mkutano pale Saud Arabia je watawaweza Wayemen? Je Saud Arabia atasubutu kuchezea moto wa Yemen sidhani.
Saudi anakumbuka moto aliopelekewa na hao Houthis .
Walichoma mpaka visima vya mafuta kadhaa vya Aramco
 
Hivi houthi ndio wanamiliki serikali inamaana yemen hamna serikali? Kama ipo yenyewe ina uhusiano gani kimataifa na nchi zingine
 
Vipi wewe maoni yako mr? kwamba Hamas wanalo huo uwezo?? ebu twambie🤣🤣🤣🤣
Mpaka sasa wanajeshi 2000 was IDF walemavu kutokana na vita ya Hamas 1658 Wana majeraha ya kawaida na 446 wamefariki ambao 117 wameua walipofanya ground invasion.
Juzi Netanyahu alitamka akisema Kuna dalili ya wanajeshi kama kukata tamaa kulingana na vita ila watapambana.
Jipe jibu mwenyewe kaka kwa Hamas tu Israel imetia mpaka jeshi la akiba la laki sita.
Gaza pagumu.
 
Israel si alijidai kupele Meli ya vita mbona kakimbia 😄

America katisha Yemen akamuita we kama mwanaume sogea. Kakacha kanza kuomba Saud Arabia na nchi za Gulf pamoja na Misri na Morocco wapigane na Yemen, naona leo wamefanya mkutano pale Saud Arabia je watawaweza Wayemen? Je Saud Arabia atasubutu kuchezea moto wa Yemen sidhani.
Pale watakuwa wanafuta kupambana na Iran!
 
Safi sana
Na nasikia kambi ya Ain al Assad ya marekani pale IRAQ imepigwa chuma na drone leo
Mwanzo wa mwisho wa us pale magharibi ya Asia uleee pale naaanza kuuona
Kwasasa kuiambia saudia aingie yemen haiwezekani sababu hata thubutuuuu hata siku moja
Na hao wengine nawao nikama Nigeria na ecowas akigoma jambo ama likiwa zito kwake basi wengne hawafanyi hata kwa bakaora
Nikiwa kama mpenda amani haki na uadilifu naungana na anachokifanya houthi hapo
Houthi kundi teule
 
Hata octoba 7 mlisifia hivihivi.
mchelea mwana kulia hulia mwenyewe.

wengine wanakusanywa kama dagaa chumvi huko. Hao wamewekwa kiporo muda bado unaruhusu mtakuja kulialia tena hapa sio mda.🤐🤐🤐🤐
Wewe Paroko endelea tu kuwauzia waumini wako Chumvi ya mawe,haya mambo ya kimataifa achana nayo,usilete ukilaza wako hapa,nenda kauze maji ya upako uwapige hela.
 
Hao wamewekwa kiporo,Sasa hivi Israel kafocus kutilia mbali Hamas, hao nyau wengine waendelee kujitekenya tu wacheke wanaweza kufumuliwa usiku mmoja na wote wakaomba ukimbizi.
Siku israhell akiifuta hamas muje kutuambia hapa
Israhell hawezi kuifuta hamas hata afanyeje labda apige nyuklia
Pia israhell hawezi kuipiga houthi hata aambiweje
Kama kaishindwa hamas miezi mitatu hii naiko hapo jiran yake tena kapeleka mpaka askari wa miguu ataweza yemen
Yemen sana sana atapiga kwa mbali mbali hatapeleka hata mjusi na akipeleka mijusi kule watakua chakula cha houthi rasmi maana hawatarejelea makwao tena wakiwa salama
Huku Hamas kule Hizbullah hapa Houth na pale pembeni lazma kuna migambo ya Iran pale Syria watakua wanapeleka nakoz kwa mazayuni
Houthi kundi teule
 
Unajidanganya sana.Israel na Marekani wanadongoka hatua kwa hatua kuelekea dunia kuwa shawari.
Israel kama imeshindwa kuifuta Hamas kwa zaidi ya miezi miwili ilipokuwa na nguvu eneo ambalo wameliwekea vikwazo kwa takriban miaka 20 hawataweza hata siku moja kuwanyamazidha Houth.
Houth wanatawala nchi kubwa yenye nyenzo nyingi kuliko Hamas na ni watu wakali wasiokubali kushindwa.Na hiyo nchi iko mbali na eneo la kimkakati si rahisi kuvuka Saudi arabia kwa njia ya miguu kuwafuata maeneo yao.Na bila kujfanya hivyo mashambulizi ya anga hayatabadili kitu ardhini.
Wewe uliipanigia miezi miwili, wenyewe toka mwanzo walisema ni vita ngumu na ya muda mrefu
 
Hivi saizi anaeiongiza Yemen ni nani na ukitaka kufanya mazungumzo let say ya kidplomasia unaongea na nani? Saudia na wenzie walidanganywaje na US kuiharibu hii nchi?
 
Hivi saizi anaeiongiza Yemen ni nani na ukitaka kufanya mazungumzo let say ya kidplomasia unaongea na nani? Saudia na wenzie walidanganywaje na US kuiharibu hii nchi?
Saudia ndio us mwenyewe
Nadhani inategemea unamtambua nani na maslahi yako yako wapi maana yemen kuna sirikali mbili kama ilivyo kule libya na itakavyokua Sudan [emoji1232] [emoji1786]
Maana kuna sehem zinashikiliwa na sirikali inayotambuliwa wanayodai kimataifa na hio inayotambuliwa na kina iran
Sasa kama wahouthi maeneo wanayoyadhibiti yamekaa na faida nyingi sana kuliko hao wengne
Pia wahouthi wananguvu sana ukilinganisha na hao vibaraka wa us na saudia
Yaani wameiharibu kwel kwel yemen ya watu wameitia mabalaa majanga dhiki na kila madhila
Wazayuni watu wabaya sana hawa ugomvi kwa faida kubwa sana
Haya mawazo yangu tu
 
Siku israhell akiifuta hamas muje kutuambia hapa
Israhell hawezi kuifuta hamas hata afanyeje labda apige nyuklia
Pia israhell hawezi kuipiga houthi hata aambiweje
Kama kaishindwa hamas miezi mitatu hii naiko hapo jiran yake tena kapeleka mpaka askari wa miguu ataweza yemen
Yemen sana sana atapiga kwa mbali mbali hatapeleka hata mjusi na akipeleka mijusi kule watakua chakula cha houthi rasmi maana hawatarejelea makwao tena wakiwa salama
Huku Hamas kule Hizbullah hapa Houth na pale pembeni lazma kuna migambo ya Iran pale Syria watakua wanapeleka nakoz kwa mazayuni
Houthi kundi teule
Watu waliobaki Gaza ya kaskazini kwa makisio ni karibu laki nne.Hiyo ni idadi ya wakazi wa mkoa mzima fulani wa Tanzania.Na walioko kusini kila giza likiingia wanatiririka kurudi makwao.Sababu wanayosema ni kuwa hakuna sehemu salama Gaza hivyo ni afadhali wabaki na kama ni kuuliwa wawe majumbani mwao au kwenye magovou ya nyumba zao.
Jana kuna bibi mmoja aliyezaliwa mwaka 1944 ambaye alikaa nje ya nyumba yake IDF wakamuua.Mwanzoni alikwenda kusini halafu akarudi nyumbani kwake kaskazini.wako wengi kama yeye.Tuseme idadi ya watu mjini Gaza inaongezeka kwa kasi.Hali hiyo ina maana Israel itakuwa imeshindwa kuikalia Gaza na imeshindwa kuwafuta Hamas hapo.Hata kama chakula hakipelekwi lakini wanakula japo kwa shida.
 
Unajidanganya sana.Israel na Marekani wanadongoka hatua kwa hatua kuelekea dunia kuwa shawari.
Israel kama imeshindwa kuifuta Hamas kwa zaidi ya miezi miwili ilipokuwa na nguvu eneo ambalo wameliwekea vikwazo kwa takriban miaka 20 hawataweza hata siku moja kuwanyamazidha Houth.
Houth wanatawala nchi kubwa yenye nyenzo nyingi kuliko Hamas na ni watu wakali wasiokubali kushindwa.Na hiyo nchi iko mbali na eneo la kimkakati si rahisi kuvuka Saudi arabia kwa njia ya miguu kuwafuata maeneo yao.Na bila kujfanya hivyo mashambulizi ya anga hayatabadili kitu ardhini.
Leo umeanza kukiri Israel inanguvu?

Hivi nyinyi Watanzania ni nani kawaroga?
 
Watu waliobaki Gaza ya kaskazini kwa makisio ni karibu laki nne.Hiyo ni idadi ya wakazi wa mkoa mzima fulani wa Tanzania.Na walioko kusini kila giza likiingia wanatiririka kurudi makwao.Sababu wanayosema ni kuwa hakuna sehemu salama Gaza hivyo ni afadhali wabaki na kama ni kuuliwa wawe majumbani mwao au kwenye magovou ya nyumba zao.
Jana kuna bibi mmoja aliyezaliwa mwaka 1944 ambaye alikaa nje ya nyumba yake IDF wakamuua.Mwanzoni alikwenda kusini halafu akarudi nyumbani kwake kaskazini.wako wengi kama yeye.Tuseme idadi ya watu mjini Gaza inaongezeka kwa kasi.Hali hiyo ina maana Israel itakuwa imeshindwa kuikalia Gaza na imeshindwa kuwafuta Hamas hapo.Hata kama chakula hakipelekwi lakini wanakula japo kwa shida.
Dah inasikitisha sana hali wanayopitia Palestine hasa wa ghaza
Ila huo ndio ukweli hakuna sehem salama kwasasa kule ghaza popote tu unakufa
Mwanzoni waliambiwa waende kusini wakapigwa huko huko wakaambiwa sijui khan younis wakapigwa huko huko
Kiufupi israhell alikua target zake awaje kule rafah karibu na misri ili wakimbilie huko ghaza itokomee
Ila wamesahau kuna muda mtu ukimpa mateso anakua anaona bora tu aishi nayo maana hakuna namna
Nawakumbusha tena wanaowaza kufutwa kwa hamas wakae wakijua hili hakitakaa litokee labda kama mazayuni watapiga nyuklia
Na hali inapoendea huko mazayuni watakubali matakwa ya hamas rasmi mana hakuna namna
Walijua miezi mitatu baada ya kuingia ghaza hamas itakua dhoofu ila kila leo hamas inaingia nguvu na hamasa
Kwakweli kwa mpaka sasa walilofanikiwa hamas nikuua raia wasio na hatia nakubomoa majumba pale ghaza
Hivi vifaru vya merkava vimeishia wapi maana sijasikia kusifiwa na wachafuzi uchwara
Na yale maji ya bahari waloanza kuyajaza walifikia wapi
Hamas kundi teule
 
Na mabadiliko ya hii dunia yafanyike kipindi hiki Marekani Rais wao ni babu akija mwengine mambo yanaweza badilika.
 
Leo umeanza kukiri Israel inanguvu?

Hivi nyinyi Watanzania ni nani kawaroga?
Sasa hili linahitaji tochi israhell wana ndege manuari meli vita nyuklia wanasaidiwa namataifa yote ya ulaya na waarabu pia
Ila hamas wapoje israhell inanguvu ila zilikua over-rated sana
Ukitoa nyuklia ndege manuari na kampani kutoka ulaya israhell inakua kama M23 tu au boko haram
 
Back
Top Bottom