LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ni sawa na mtu amekupiga mtama na kukukalia kwa juu alafu watu wa pembeni wanamwambia huwezi kumpiga huyo
Hii mada ni kubwa sana kuliko uwezo wako wa kufikiri,ungepiga kimya ili kuficha upumbavu wako,

Mafanikio au ushindi huhesabiwa kwa kutimiza malengo uliyojiwekea,

Lengo la Zionists kuivamia Gaza ilikua ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka wao,je hayo malengo yamefikiwa? Nakuuliza wewe hapo Yahudi mweusi wa Nzega,

Vita sio kubomoa majengo au kuua wanawake na watoto wasio na hatia.
 

Attachments

  • Screenshot_20240119-095042_Gallery.jpg
    Screenshot_20240119-095042_Gallery.jpg
    79.5 KB · Views: 10
Israel imeua watu zaidi ya 25000 hapo Gaza, je hao ni Hamas?
Watatoka tuu walikojificha wapumbavu hao. Unaanzisha zengwe alaf unajificha nyuma ya wanawake na watoto??

They will beg for water😂😂😂
 
Nenda fesibuku ukaendelee ku like mitindo ya nywele na madera,hii mada ipo nje ya uwezo wako wa uelewa,hii sio mada ya kujadili Simba na Yanga,hivyo vimisemo vya kitoto peleka Fesibuku huko.
Kutokukujibu ingefaa zaidi.Huwa unaendeshwa na akili kama unapigwa miti.Acha ushoga.
 
Kutokukujibu ingefaa zaidi.Huwa unaendeshwa na akili kama unapigwa miti.Acha ushoga.
Hivi ni kwanini nyie mashoga hua mnaamini kila mtu ni shoga kama nyinyi? Hua hamna tusi lingine zaidi ya kuhisi kila mtu ni shoga kama nyinyi? Wazazi wako wana hasara kubwa sana kuzaa Kenge.
 
Watatoka tuu walikojificha wapumbavu hao. Unaanzisha zengwe alaf unajificha nyuma ya wanawake na watoto??
They will beg for water😂😂😂
Propaganda za kishoga 😂😂😂

Kwa hiyo wakijificha nyuma ya watoto mabomu hayawapati Hamas?
 
Propaganda za kishoga 😂😂😂

Kwa hiyo wakijificha nyuma ya watoto mabomu hayawapati Hamas?
Basi tutapiga panapouma saaanaa. Wao si wamechokoza nyuki wakatimua sasa tutadili na familia zao yaaaaniii mpaka wasemeee na Aljazeera yao.
 
Waziri wa Foreign wa America mh Anthony Blinken yuko Israel kumshawishi Benjamin Netanyahu akubali ombi la Hamas la kusimamisha Vita

Source BBC news
 
Na uzuri israel na yeye mateka wake 130 alisema anawataka aidha kwa vita au mazungumzo na hamas so lazima atakubali hilo
 
Waziri wa Foreign wa America mh Anthony Blinken yuko Israel kumshawishi Benjamin Netanyahu akubali ombi la Hamas la kusimamisha Vita

Source BBC news
Poor John! Hamas hawezi kupigana vita na Israel, Hamas ni magaidi wa kuvizia .......wataisha na Nnetanyau ananuia to exterminate Hamas!
 
Waziri mkuu wa Israel mh Benjamin Netanyahu amesema kwa sasa Taifa lake halina option nyingine zaidi ya Ushindi

Blinken arejea Marekani mikono mitupu huku akiwaacha Hamas na hofu kuu ya kumalizwa

Source Al jazeera news
 
Back
Top Bottom