LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums

View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1791925906509832502

"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki. Wao kwa wao ni marafiki. Na yeyote miongoni mwenu anaye wafanya marafiki basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu waliodhulumu."
Mwenyezi Mungu hawakatazi, kuhusu wale ambao hawakupiganeni nanyi kwa dini, wala hawakukutoeni majumbani mwenu, kuwa watendeeni wema na kuwa watendeeni uadilifu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu. Mwenyezi Mungu anawakataza tu kuwafanya marafiki zenu wale waliopiganeni nanyi kwa dini, na wakakutoeni katika majumba yenu, na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu. Na wanaowafanya hao kuwa marafiki, basi hao ndio madhalimu."
 
Wayahudi hawana urafiki na yeyote yule zaidi ya myahudi mwenzake, sio mkristo wala Muislam Myahudi hana urafiki nae isipokuwa Wakristo wamejazwa ujinga tu wakuwanyenyekea Wayahudi.

Kabla ata ya Uislamu kuja Wayahudi waliwaua sana Wayahudi wenzao walioamini katika Ukristo.
 
Aibu gani sasa? Nikajua wanabomoa msikiti kwa nyundo.
 

View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1791925906509832502

"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki. Wao kwa wao ni marafiki. Na yeyote miongoni mwenu anaye wafanya marafiki basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu waliodhulumu."
Mwenyezi Mungu hawakatazi, kuhusu wale ambao hawakupiganeni nanyi kwa dini, wala hawakukutoeni majumbani mwenu, kuwa watendeeni wema na kuwa watendeeni uadilifu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu. Mwenyezi Mungu anawakataza tu kuwafanya marafiki zenu wale waliopiganeni nanyi kwa dini, na wakakutoeni katika majumba yenu, na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu. Na wanaowafanya hao kuwa marafiki, basi hao ndio madhalimu."

Mojawapo ya aya za Shetani Allah katika Quran...

Tuwekee na ile ya Allah ndie anapandikiza Chuki miongoni mwa Mayahudi na wakristo...

Na ile ya Waumini wa kiislam wauweni wasio waislam popote mwakutapo..

Shetani nyie
 
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki. "----- Hamieni Afghanistan, Yemen au Saudi Arabia. Watumwa wa kiakili. Inatia aibu sana waafrika dini za kigeni
zimetenganisha ndugu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni Uzi maalumu Kwa watu maalumu na walio makini kutupa uzoefu wa orodha ya matukio mbalimbali yakiyohusisha adhabu walizopata wale waliokusudia kuwadhuru Waisrael

Unachotakiwa kufanya ni kuweka tukio na adhabu aliyoipata mhusika/ wahusika na iliwezekanaje mwaka husika

1.
10 Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Esta 7:10

2. Goliath aliishia kukatwa kichwa na Daudi
3. Farao aliishia kuzama baharini eye na Jeshi lake lote
4. Mfalme Nebulhadnezer aliishia kula majani kama mnyama
 
Dola ya third reich kusambaratika kama mavumbi kwenye upepo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni Uzi maalumu Kwa watu maalumu na walio makini kutupa uzoefu wa orodha ya matukio mbalimbali yakiyohusisha adhabu walizopata wale waliokusudia kuwadhuru Waisrael

Unachotakiwa kufanya ni kuweka tukio na adhabu aliyoipata mhusika/ wahusika na iliwezekanaje mwaka husika

1.
10 Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Esta 7:10

2. Goliath aliishia kukatwa kichwa na Daudi
3. Farao aliishia kuzama baharini eye na Jeshi lake lote
4. Mfalme Nebulhadnezer aliishia kula majani kama mnyama
Hizo ni hadithi walizotunga wenyewe kujipa ujiko tuu.
Mfano hadithi ya kuzama kwa Farao Ramses hakuna ushahidi wote uliopatikama kwenye maandishi ya Wamisri Wala hata gurudumu la chariots zake baharini wala popote nje ya vitabu vyao.
Maiti ya Ramses ipo mpaka Leo na forensic examination inaonyesha hakufa maji.
"Religion is the opium of the people" Karl Max ( thinker/philosopher wa Kiyahudi)
 
Mkuu ni ukweli tunajua kuwa palestina anaonewa lakin hii haifanyi sote tuunge mkono upumbavu wa Hamas unaoenda kusababisha vifo vya watu wengi wa palestina wasio na hatia.
Wenye hekima mliona mbali.
 
Wagaidi wa hamas wajishushe la sivyo wanatia huruma watamalizwa

Wagaidi wa palestine wamejaa kiburi lkn wanaomia ni wao

Kitu kibaya ni kuwa israeli wanawajua waarabu nje ndani

Anajua wapi pa kuwafinya

Tatizo moja wagaidi wanashindwa kujua kuwa vita haimalizwi kwa maandamano
Au vita haimalizwi kwa kujipiga self na maiti kisha mnazirusha aljazeera


WAgaidi wa Hamas wasipate aibu waende kwa Benjamin netanyau wakayamalize kiume (wapige magoti
 
Hamasi hashindwi vita dogo, Hamasi anapigana na Baba yake taifa la mashoga.

Hamasi hapigani na Israel, wale ni jeshi la Pampers anapigana na hawa soma mwenyewe
 

Attachments

  • IMG-20240609-WA0054.jpg
    IMG-20240609-WA0054.jpg
    105.4 KB · Views: 2
Hamasi hashindwi vita dogo, Hamasi anapigana na Baba yake taifa la mashoga.

Hamasi hapigani na Israel, wale ni jeshi la Pampers anapigana na hawa soma mwenyewe
Hawa mapunguani wengi ni mashabiki mandazi hivi vita wamevijua JF juzi mtu yupo Mateke anatoa tamko kwa Hamas😂
 
Back
Top Bottom