Yanayosemwa kuhusiana na Askari huyu yana ukweli?
Katika kufuatilia kupata ukweli, ASP Fatuma Kigondo aliingia kwenye mtandao huo kutafuta aliyechapisha taarifa hizo ambapo waligundua kuwa ni Fuhurer JF Expert member ndiye aliyechapisha taarifa hiyo.

Kufuatia hayo, Februari 23, 2016 Kigondo aliandika barua kwenda kwa Mkurugenzi wa Jamii forums ili awapatie taaarifa za mtu huyo ambapo walipokea barua toka Jamii Forums ikidai kuwa wanahaki ya kulinda faragha za wateja wao.
Malipo ni hapahapa duniani
 
Kwahiyo hata mimi nikiandika utumbo hapa sidakwi au mambo yamebadilika??
Uliwahi kujua kisa cha mello kushitakiwa? kama ungebahatika kujua bila shaka ungeelewa kwamba Magufuli hakuwa mtetezi wa Nchi, alikuwa anadanganya tu,ule uzi ulikuwa unaweka wazi michezo yote michafu ya mambo ya mafuta bandarini, aliyeuleta alipaswa kuvishwa nishani badala ya kuwindwa ili auawe.

Hivi ile nyumba iliyotumika kunyonya mafuta iliyodaiwa kukamatwa na RC wa DSM ulisikia tena habari zake?
 
Uliwahi kujua kisa cha mello kushitakiwa? kama ungebahatika kujua bila shaka ungeelewa kwamba Magufuli hakuwa mtetezi wa Nchi, alikuwa anadanganya tu,ule uzi ulikuwa unaweka wazi michezo yote michafu ya mambo ya mafuta bandarini, aliyeuleta alipaswa kuvishwa nishani badala ya kuwindwa ili auawe.

Hivi ile nyumba iliyotumika kunyonya mafuta iliyodaiwa kukamatwa na RC wa DSM ulisikia tena habari zake?
Thubutuuuuu,ule mchongo sio wa kitoto ni ma engineers ndio waliunga pipe,mchongo wa wakubwa ule.
Sisi tunakimbizana na vidumu TU docs
 
Uliwahi kujua kisa cha mello kushitakiwa? kama ungebahatika kujua bila shaka ungeelewa kwamba Magufuli hakuwa mtetezi wa Nchi, alikuwa anadanganya tu,ule uzi ulikuwa unaweka wazi michezo yote michafu ya mambo ya mafuta bandarini, aliyeuleta alipaswa kuvishwa nishani badala ya kuwindwa ili auawe.

Hivi ile nyumba iliyotumika kunyonya mafuta iliyodaiwa kukamatwa na RC wa DSM ulisikia tena habari zake?
Ndo mana nasemaga watz ukifanikiwa kuwaroga kwenye tv na social media kupitia content creation rahis sana kuwadaka.
 
Ungeelezea vizuri ingependeza,kwani huyo fuhurer alimchokoza nini da Fatu mpaka atake kumkamata?
 
Si ndiye inasemekana aliyeombwa msamaha na yule binti ALIYEBAKWA . Kwasasa yupo Dodoma.
 
Uliwahi kujua kisa cha mello kushitakiwa? kama ungebahatika kujua bila shaka ungeelewa kwamba Magufuli hakuwa mtetezi wa Nchi, alikuwa anadanganya tu,ule uzi ulikuwa unaweka wazi michezo yote michafu ya mambo ya mafuta bandarini, aliyeuleta alipaswa kuvishwa nishani badala ya kuwindwa ili auawe.

Hivi ile nyumba iliyotumika kunyonya mafuta iliyodaiwa kukamatwa na RC wa DSM ulisikia tena habari zake?
Hivi iliishia wapi ndugu????
 
Sina la kusema wanasheria mtusaidie
1724169848171.jpg
 
Kudadeeki wanasheria wanataka kugawana afande. Huku kisabo kule madeleka
 
Back
Top Bottom