Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Wanaleta ushabiki wa kipuuzi kwamba ile si penati daaah
 
Na ndio maana Simba mpira wake unaleta hamasa kwasababu ushindani unaonekana

Ukishagundua kuwa umezidiwa basi kubali umezidiwa kama ambavyo Simba alivyo ridhika na hali aliyokumbana nayo leo

Sasa huyo ni geita na hapo ni kwa mkapa, mayele yupo, bangala yupo, saido yupo lakini bado unalendemka na kuuhanithi mpira kiboya halafu ukitoka hapo utuvimbie sisi wakimataifa sisi wa kihistoria

Pumbaaf hii mbeleko ya leo mmeijumuisha kwenye hilo daftari la historia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…