Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Mpira wa bongo comedy tosha mjue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya hapo ni matuta mzeeHivi kuna marudio ya mechi ee?au ndo moja tu
Hiyo ndio Yanga bwana.
😂😂😂😂😂😂Ufala huu.
Yaani haya matimu yenu ya Yanga na Simba bila kubebwa huwa hamna kitu,sasa kuna penati kweli pale?Mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Azam Sports Federation utapigwa usiku huu ambapo Yanga atawakaribisha Geita Gold katika dimba la Benjamin Mkapa.
Kwa live updates tukutane hapa saa 1::00 usiku
=================
Mchezo umeanza na timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dk ya 20: Geita wanacheza kwa kuvizia kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Dk ya 30: Geita Gold wanacheza vizuri na kufanikiwa kufanya mashambulizi kadhaa
Dk ya 40: Yanga wanaongeza kasi ya kushambulia lakini ulinzi wa Juma Nyosso na Kelvin Yondani unakuwa imara.
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza.
Dk ya 60: Yanga wanaonekana kuongeza presha ya mashambulizi.
Dk ya 70: Yondani anamfuta Mayele wanajibizana baada ya Mayele kumchezea faulo Yondani
Dk ya 75: Mayele anakosa bao baada ya shuti lake kumgonga mlinzi wa Geita na inakuwa kona.
Dk ya 80: Makambo ameingia, ametoka Mauya, mabadiliko upande wa Yanga.
Dk ya 83: Yanga wanafanya mashambulizi mawili makali ndani ya muda mfupi. Presha imeongezeka mchezoni.
Dk ya 86: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Geita wanapata bao
imekuwaje?Rose Muhando FC
Wamepewa penati, au ni penati halali? Huwa sifurahishwi na watu wanaojitoa ufahamu!Nasikia wazeee wakubebwa wamepewa penalt
Kashika kweliKashika kweli au penati ya mchongo
Me nilijua tu,yanga atashinda tu.Yanatengenezwa mazingira sana kila kitu yangaMpira wa bongo comedy tosha mjue
imekuwaje?
Rio comedyMpira wa bongo comedy tosha mjue
Tusubiri mpaka mwishoWatakufa tu kwenye penati
Mtaongea lugha zote mwaka huu.Utopolo, nyani, ng'ombe, mbwa, etc. .. bahati yenu