Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Azam Sports Federation utapigwa usiku huu ambapo Yanga atawakaribisha Geita Gold katika dimba la Benjamin Mkapa.

Kwa live updates tukutane hapa saa 1::00 usiku

=================

Mchezo umeanza na timu zote zinashambuliana kwa zamu.

Dk ya 20: Geita wanacheza kwa kuvizia kufanya mashambulizi ya kushtukiza.

Dk ya 30: Geita Gold wanacheza vizuri na kufanikiwa kufanya mashambulizi kadhaa

Dk ya 40: Yanga wanaongeza kasi ya kushambulia lakini ulinzi wa Juma Nyosso na Kelvin Yondani unakuwa imara.

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza.

Dk ya 60: Yanga wanaonekana kuongeza presha ya mashambulizi.

Dk ya 70: Yondani anamfuta Mayele wanajibizana baada ya Mayele kumchezea faulo Yondani

Dk ya 75: Mayele anakosa bao baada ya shuti lake kumgonga mlinzi wa Geita na inakuwa kona.

Dk ya 80: Makambo ameingia, ametoka Mauya, mabadiliko upande wa Yanga.

Dk ya 83: Yanga wanafanya mashambulizi mawili makali ndani ya muda mfupi. Presha imeongezeka mchezoni.

Dk ya 86: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Geita wanapata bao
Yaani haya matimu yenu ya Yanga na Simba bila kubebwa huwa hamna kitu,sasa kuna penati kweli pale?
 
Back
Top Bottom