Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Najua alikuwa kibopa mfupi anakitambi fulani cha kuzugiaAliye daka ile mechi ya goli 9-8 unamfahamu ama umemuona humu
Ila hata wapigaji nao walichangia kufelisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua alikuwa kibopa mfupi anakitambi fulani cha kuzugiaAliye daka ile mechi ya goli 9-8 unamfahamu ama umemuona humu
YapUzuri wa penati hazina mwenyewe
Bila kusahau utege fulani hivi kwa chini kama banio la sufuria ya ugaliNajua alikuwa kibopa mfupi anakitambi fulani cha kuzugia
Ila hata wapigaji nao walichangia kufelisha
Yanga bado ni faida kwake kwani mechi zinazidi kupungua huku gap na Simba likiemdelea kuwa pale pale. Simba ndio wanatakiwa wafanye kazi ya kupunguza gap jambo ambalo mpaka sasa limewashinda.ngapi huko
Uto kachomolewa mwikoMbona nasikia makelele toka banda umiza huko
Uto kachomolewa mwiko
shughuli imeisha iyoYanga bado ni faida kwake kwani mechi zinazidi kupungua huku gap na Simba likiemdelea kuwa pale pale. Simba ndio wanatakiwa wafanye kazi ya kupunguza gap jambo ambalo mpaka sasa limewashinda.
Yanga bado ni faida kwake kwani mechi zinazidi kupungua huku gap na Simba likiemdelea kuwa pale pale. Simba ndio wanatakiwa wafanye kazi ya kupunguza gap jambo ambalo mpaka sasa limewashinda.
Umenikumbusha na pia alikuwa na pua fulani mchongoko kama gear box ya tractorBila kusahau utege fulani hivi kwa chini kama banio la sufuria ya ugali
Sio mbaya mpate la kuongea.Utopolo leo maji mtaita mma.