SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Round hii hatutasahau kukununua hadi wewe.Hawa walinunua mwamuzi robo fainali na Kagera sugar kisha tukawapiga nne kwenye nusu fainali miaka mitatu iliyopita. Wamejileta tena utopolo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Round hii hatutasahau kukununua hadi wewe.Hawa walinunua mwamuzi robo fainali na Kagera sugar kisha tukawapiga nne kwenye nusu fainali miaka mitatu iliyopita. Wamejileta tena utopolo.
Future ni kuwa kolo hana jipya kwa bingwa wa kihistoriaTofautisha future na past.
Kwaio Yule Mchezaji Wa Geita Gold Hakushika Mpira Ama?Mpira una hanithiwa kizembe na marefa wenye njaa
Andaa jamvi, tunakuja.Round hii hatutasahau kukununua hadi wewe.
Kila mechi unakuja na visingizio hivi.Sawa leo mchezaji wenu aliyeingia na filimbi kawaokoa
Jitahidi upumzike usije jidhuru leo siku sio nzuri kwakoMpira una hanithiwa kizembe na marefa wenye njaa
We ndo coward kabisa heri ya wenzako waliothubutu kuleta mbwembwe kabla ya mechi halafu wakaja kubadilisha upepo baada ya kuona mambo magumu kuliko wewe unayeonekana baada ya kushinda (kwa kubebwa)Get well soon
Unaonekana hujui kiingereza, mpira sio historia dogo.Future ni kuwa kolo hana jipya kwa bingwa wa kihistoria
Angalia mechi zake 2 za nyuma kolo ni chupli chupli
Wakat bingwa anapiga tu kila timu na inaridhika kwA kipigo
Sisi tuokoleweSawa leo mchezaji wenu aliyeingia na filimbi kawaokoa
Hilo jamaa hua ni punguani,Kwaio Yule Mchezaji Wa Geita Gold Hakushika Mpira Ama?
NYIE WASEKONDARI SISI LEVEL ZETU CHUO KIKUU [emoji23]
Kunywa maji mengi kojoa sana utasahau maumivuWe ndo coward kabisa heri ya wenzako waliothubutu kuleta mbwembwe kabla ya mechi halafu wakaja kubadilisha upepo baada ya kuona mambo magumu kuliko wewe unayeonekana baada ya kushinda (kwa kubebwa)
Ushaona Simba imeweka press kuzungumzia marefa?Kila mechi unakuja na visingizio hivi.
Tushakutana na nyie ngao ya jamii na kwenye ligi katika msimu huu.
Mlishinda?
Au haikuchezeshwa na refa?
Geita wanajua kiingerezaUnaonekana hujui kiingereza, mpira sio historia dogo.
Narudia tena, nawataka sana nusu fainali na hao kina Mayele wenu tena hapo kwa Mkapa au pengine popote pale.
Nimemaanisha Haters Ni WASEKONDARI Tu Wakati Sisi Level Zetu Ni Chuo Kikuu [emoji23]Imefikia hatua ya kututusi? Huu si uungwana mzee
🚮🚮NYIE WASEKONDARI SISI LEVEL ZETU CHUO KIKUU [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo jamaa hua ni punguani,
Watakufa tu kwenye penati