data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
We jamaa usipopata kiharusi stroke pressure paralysis ulcers bp au kichaa tupinge!! Utakufa bure!๐๐Ngoja tuone mwisho wake utakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa usipopata kiharusi stroke pressure paralysis ulcers bp au kichaa tupinge!! Utakufa bure!๐๐Ngoja tuone mwisho wake utakuaje
Man of the match ni refa na hapo ndio inatukumbusha kuwa na mawasiliano mazuri na hawa wajomba ni kujiweka katika nafasi nzuri ya kushindaWe jamaa usipopata kiharusi stroke pressure paralysis ulcers bp au kichaa tupinge!! Utakufa bure!๐๐
Unateseka kwa ushindi wa Young africans ukiwa wapi?We ndo coward kabisa heri ya wenzako waliothubutu kuleta mbwembwe kabla ya mechi halafu wakaja kubadilisha upepo baada ya kuona mambo magumu kuliko wewe unayeonekana baada ya kushinda (kwa kubebwa)
Nikiwa kwenye huu uziUnateseka kwa ushindi wa Young africans ukiwa wapi?
Chanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Mnaleta mambo ya kitoto na ya kipuuzi, halafu mkipigwa ๐ sehemu husika, mnakimbilia polisi.
Ya kule Ushirika sio?Kwa haya matokeo siku imeisha vibaya
Africa nzima inajua makolo mnanua marefa shahidi banda mchezaji wenu wa zamani.Man of the match ni refa na hapo ndio inatukumbusha kuwa na mawasiliano mazuri na hawa wajomba ni kujiweka katika nafasi nzuri ya kushinda
Upo wakati mlikuwa mnaenda kwenye press conference huku mkiwa mmebeba TV kuwaonesha waandishi wa habari mlichokuwa mkidai ni uonevu wa marefa dhidi ya Simba...au mmeshasahau mara hii???Ushaona Simba imeweka press kuzungumzia marefa?
But you did
Mechi ikiwa ngumu sandeni huo ndio uungwana haya leo tumeona kitu cha kitofauti sio mayele leo ilikuwa ni zamu ya refa kutetema
Mnaleta mambo ya kitoto na ya kipuuzi, halafu mkipigwa ๐ sehemu husika, mnakimbilia polisi.
Adeyum,Yondani wote walichezea Yanga na wamepata pia amesahau goal la kwanza la Geita kasababisha Macka Edward ambae alichezea Yanga pia.Ili upige penati vizuri kwanza lazima ujiamini usiwe na chembe ya hofu. Yondani alichezea yanga lakini kapiga penati vyema sana
Mpira huu yanga ata kuwa Giant humu humu ila nje watamtwanga mno
๐๐๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Hiyo ni package ambayo unaikuta ndani ya radha ya kabumbu inayopigwa na mnyama, kama lile goli la kanoute wengi tuligipia puli lilikuwa na falvourGame za makolo waweke porns
Kwa akili hizo sio muda utavua chup hadharan kama kolo mwenzenu morrizonNikiwa kwenye huu uzi
Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam
Yanga 1_Simba 0 goli litafungwa 1st half na kudumu mpk dk 90+ umeanza ramli sasawwww.jamiiforums.com
Hiyo ni package ambayo unaikuta ndani ya radha ya kabumbu inayopigwa na mnyama, kama lile goli la kanoute wengi tuligipia puli lilikuwa na falvour
Ila kwa ndugu zangu bora waweke vipindi vya mapishi au kaswida ziwasaidie waliofunga kuliko kuona refa anakitoa magoli ya wazi
Assist imetoka kwa Mahadhi nae alikua Yanga piaAdeyum,Yondani wote walichezea Yanga na wamepata pia amesahau goal la kwanza la Geita kasababisha Macka Edward ambae alichezea Yanga pia.