Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

We jamaa usipopata kiharusi stroke pressure paralysis ulcers bp au kichaa tupinge!! Utakufa bure!๐Ÿ˜ˆ๐Ÿ˜ˆ
Man of the match ni refa na hapo ndio inatukumbusha kuwa na mawasiliano mazuri na hawa wajomba ni kujiweka katika nafasi nzuri ya kushinda
 
Ushaona Simba imeweka press kuzungumzia marefa?

But you did

Mechi ikiwa ngumu sandeni huo ndio uungwana haya leo tumeona kitu cha kitofauti sio mayele leo ilikuwa ni zamu ya refa kutetema
Upo wakati mlikuwa mnaenda kwenye press conference huku mkiwa mmebeba TV kuwaonesha waandishi wa habari mlichokuwa mkidai ni uonevu wa marefa dhidi ya Simba...au mmeshasahau mara hii???
 
Mpira huu yanga ata kuwa Giant humu humu ila nje watamtwanga mno
FB_IMG_16493691289181891.jpg
 
Game za makolo waweke porns
Hiyo ni package ambayo unaikuta ndani ya radha ya kabumbu inayopigwa na mnyama, kama lile goli la kanoute wengi tuligipia puli lilikuwa na falvour

Ila kwa ndugu zangu bora waweke vipindi vya mapishi au kaswida ziwasaidie waliofunga kuliko kuona refa anakitoa magoli ya wazi
 
Unajifariji ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hiyo ni package ambayo unaikuta ndani ya radha ya kabumbu inayopigwa na mnyama, kama lile goli la kanoute wengi tuligipia puli lilikuwa na falvour

Ila kwa ndugu zangu bora waweke vipindi vya mapishi au kaswida ziwasaidie waliofunga kuliko kuona refa anakitoa magoli ya wazi
 
Back
Top Bottom