Sasa pale mazingira gani wakati beki uzembe wake mwenyewe kweli kuclear mpiraMe nilijua tu,yanga atashinda tu.Yanatengenezwa mazingira sana kila kitu yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa pale mazingira gani wakati beki uzembe wake mwenyewe kweli kuclear mpiraMe nilijua tu,yanga atashinda tu.Yanatengenezwa mazingira sana kila kitu yanga
Aiseee hii timu bora aibu yake inaishia hapa hapa nyumbani haifiki ugenini vinginevyo tungekuwa na kzi kubwa kama simba kuisawazisha hii aibuNibebe nibembeleze
Kaoge ulaleAcha ushabiki wa kipuuzi kwamba haikuwa penati ile
Walichokitaka Simba kimekosekana.FT' 1-1
Katika nyakati ambazo vitu vinapanda bei lakini thamani ya refa imekuwa ikizidi kushukaHuyu refa kama angekuwa anachezesha mechi uwanja wa CCM Magunia au Tandika Mabatini asingetoka salama
Hahahah mpira umeanza shabikia juzi hapo kubebwa kabebwa nani?yanabebwa ili yapite
pamoja na penalt kumbe Yanga walikuwa wana chomoa!!!!FT' 1-1
Bora ungekuwa tu kipofu. Maana una macho, lakini huoni.Yanga wamepewa penati ya mchongo
Mmeingiza wachezaji 12 halafu mmoja mkampa filimbiPamoja na yote, yule mchezaji kashika mpira
Huo ndo ukweli, sema watu wanaleta ushabiki Mbaya zaidi geita wameshika kwenye box mara 2 hii Moja ndo refa kafunikaPamoja na yote, yule mchezaji kashika mpira
Zaidi ya miyeyushoNgoja tu nicheke..mpira wa kibongo miyeyusho sana.
Hawezi kujibu hapa jamaa kashika dhahiriKwani kwenye replay imeonekana ameunawa au hajaunawa?
Hahaha nasubiri kuona penati mkuuKaoge ulale
Hawa jamaa ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu. Kwanza goli lenyewe la Geita halikuwa halali, maana mchezaji wa Yanga alichezewa faulo ya wazi! Lakini mwamuzi akapeta.Hahahah mpira umeanza shabikia juzi hapo kubebwa kabebwa nani?
Goli alilofungwa yanga ilianza fanyika faulo kwA ntibazokiza na refa kapeta hakuna aliye sikitika
Kabisa ........umefurahiMbeleko ya mwamuzi