Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Yanga 1-1 (7-6 penati) Geita Gold | Azam Sports Federation | Estadio de Bejamin Mkapa

Hiiiii bha ghoshaaaa mbeleko ya ngozi hii Wana Utopolo!


Au nasema uongo Wana Msimbazi?
😁😁😁😁πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Hizi timu nyingine zingetimiza tu ratiba..maana utopolo ni kama washaandaliwa.
Wameandaliwa na nani sheikh! Mpira uko wazi kabisa! Kila timu inapiga penati, na kupata vizuri tu!

Penati ilikuwa ni halali kwa sababu mchezaji wa Geita amejigongesha mwenyewe mpira! Na hata marudio yameonesha hivyo

By the way, Yanga hana cha kupoteza hata akitolewa, bado Ubingwa wa Ligi kuu ni wake.
 
Hawa jamaa ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu. Kwanza goli lenyewe la Geita halikuwa halali, maana mchezaji wa Yanga alichezewa faulo ya wazi! Lakini mwamuzi akapeta.

Sasa mchezaji wa Geita anajigongesha kwa makusudi mpira kwenye mkono, wanakuja na porojo zao! Hovyo kabisa.
Acha tuwe mbumbumbu pengine kwasababu aliyetoa hilo jina alikuwa ni muafrika hatuwezi kumzingatia sana kulingana na nature ya waafrika walivyo walopokaji na ndio maana hata Chris Kross alipigwa kofi

Ila kwa lucy eymael yule ni mzunu, mzungu hakosei ila anajisahau

Alijisahau kuwa bado yuko chini ya management yenu na sio muda sahihi wa kuwaambia ukweli huo kwasababu yeye ni kocha huko masomoni hawasomei mipira tu, wanasomea hadi tabia ya mtu na namna ya kuwa group watu kulingana na tabia zao wanavyo behave
 
Wameandaliwa na nani sheikh! Mpira uko wazi kabisa! Kila timu inapiga penati, na kupata vizuri tu!

Penati ilikuwa ni halali kwa sababu mchezaji wa Geita amejigongesha mwenyewe mpira! Na hata marudio yameonesha hivyo

By the way, Yanga hana cha kupoteza hata akitolewa, bado Ubingwa wa Ligi kuu ni wake.
Ila hapo anatafuta nini.?
 
Geita tuachieni utopolo tafadhali tuna kazi nao.
 
Back
Top Bottom