Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Ni ujinga wa Kayoko, we uliona wapi refa anaona offside wakati kibendera aliye pembeni ameona onside?Wakati Simba wakinufaika na goli la offside Juzi, Leo Yanga wananyishwa goli halali kabisa hapa refa anadai ni offside..
Paka hapo ushajua nani anagawa bahasha