Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Sawa maoni yako ni hayo ila kwa upande wangu baada ya kuangalia mechi ya Jana na Leo, timu ya Jana ina uwezo mdogo kuliko inayokuja Raja , vilevile timu ya leo nayo sidhani kama ina uwezo kuliko Tp mazembe kwa hiyo naamini kwamba mechi zijazo Simba na Yanga hawawezi kushinda...mechi tatu za mwanzo timu zetu zitaishia kupata point mojamoja tu kwa kutoa sare kule vipers na bamako
Simba kufungwa na Raja hilo linawezekana

Ila Simba kamwe haiwezi fungwa na Horoya wala Vipers kwa mkapa
 
Halafu ukiacha kushabikia inatuathiri nini? Hayo ni maamuzi yako.
Shougaaa anguu leoo unalia mnooo, kwan tatizo nn eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba kufungwa na Raja hilo linawezekana

Ila Simba kamwe haiwezi fungwa na Horoya wala Vipers kwa mkapa
Hata mi naamini hivo ila sidhani kama vipers watakubali kufungwa kwao na simba
 
Sawa maoni yako ni hayo ila kwa upande wangu baada ya kuangalia mechi ya Jana na Leo, timu ya Jana ina uwezo mdogo kuliko inayokuja Raja , vilevile timu ya leo nayo sidhani kama ina uwezo kuliko Tp mazembe kwa hiyo naamini kwamba mechi zijazo Simba na Yanga hawawezi kushinda...mechi tatu za mwanzo timu zetu zitaishia kupata point mojamoja tu kwa kutoa sare kule vipers na bamako
Simba pamoja na uyanga wangu, sina shaka juu ya kushinda mechi zao uwanja wa Mkapa. Wameshafanya hivyo kwa timu kubwa zaidi ya hiyo Raja. Ni ndoto kutegemea Simba kufungwa kwenye ule uwanja. Yanga kushinda ni hatiani kwasababu hana desturi hiyo
 
Uache usiache hutupunguzii wala hutuongezei chochote.
 
Vipers imeondoa wachezaji wake muhimu maeneo mawili

Kiungo na ushambuliaji

Lakini kipa naye ni kama Ahmada tu
Ngoja tusubiri tuone ila Simba wakijikaza wanaweza kushika nafasi ya pili, Yanga ngoma ngumu japo natamani kuona nao wanafikia 8 bora
 
Simba pamoja na uyanga wangu, sina shaka juu ya kushinda mechi zao uwanja wa Mkapa. Wameshafanya hivyo kwa timu kubwa zaidi ya hiyo Raja. Ni ndoto kutegemea Simba kufungwa kwenye ule uwanja. Yanga kushinda ni hatiani kwasababu hana desturi hiyo
Tusubiri tuone japo naamini weekend ijao bado itakuwa mbaya tu kwa timu zetu.
 
Yanga wana dominate mpira lakini hawapeleki pressure kwenye timu pinzani

Wanaweza kushinda home lakini natabiri ugumu
Umeongea ukweli. Yanga kutengeneza nafasi za kufunga bado ni shida na iyo ni hata kwa ligi ya nyumbani
 
Simba pamoja na uyanga wangu, sina shaka juu ya kushinda mechi zao uwanja wa Mkapa. Wameshafanya hivyo kwa timu kubwa zaidi ya hiyo Raja. Ni ndoto kutegemea Simba kufungwa kwenye ule uwanja. Yanga kushinda ni hatiani kwasababu hana desturi hiyo
Hii post inanishangaza kidogo. Wamekuibia simu nini?
 
Utakuwa mgeni na mimi, nyeupe hua nasema nyeupe. Siwezi kusema pink wakati naona nyeupe. Nimeanza kupenda mpira kabla ya timu hivyo ni mshabiki wa pili. Anza kwa kunifatulia vizuri tokea huko awali
Poleni sana, ndiyo mpira huo! Jikazeni kiume.
 
Ukishakuwa mchezaji wa TP Mazembe hata kama ni wakawaida tayari mentally ww utakuwa unajiona mkubwa, kwanza mazembe anamzidi yanga uzoefu nakila kitu nahawajawai kupoteza mchezo pale kwa mkapa.

Pili wanawafahamu vizuri wachezaji wengi wa yanga, tatu tofauti na waarabu wanaotumia xana akili kuliko nguvu ngozi nyeusi wakofiziki xana nawanafika xana miguuni, nne tayari wameshaokota points 3 nyumbani hawana presha wala hawatokuwa under pressure.

Hiyo game ngumu xana bora gama ya simba na raja kidogo inaonekana itakuwa open namianya yachances zakutengeneza magoli inaweza kupatikana kuliko game ya yanga na mazembe
 
Poleni sana, ndiyo mpira huo! Jikazeni kiume.
Ni mpira, ngoja tuone nini kitafunwa wikiend ijayo. Mechi ya jana na ya leo hazikustahili kuisha hivi zilivyoisha. Makocha na wachezaji wana namna la kufanya ili kuliweka sawa kwenye mapungufu.
 
Kukosekana kwa ubunifu eneo la ushambuliaji ndio chanzo cha simba na yanga kupata matokeo mabovu kwenye mechi zao

Wakiwa nyumbani wanakutana na timu mbovu zinazofanya makosa mengi ya wazi ndio maana huwa wanapata matokeo kiurahisi sana.
 
Yule njiti na mnywa mbege yenye acid iliyokula meno jana walipost wanacheeeka?
 
ukishakuwa mchezaji wa tp mazembe hata kama ni wakawaida tayari mentally ww utakuwa unajiona mkubwa,kwanza mazembe anamzidi yanga uzoefu nakila kitu nahawajawai kupoteza mchezo pale kwa mkapa, pili wanawafahamu vizuri wachezaji wengi wa yanga, tatu tofauti na waarabu wanaotumia xana akili kuliko nguvu ngozi nyeusi wakofiziki xana nawanafika xana miguuni, nne tayari wameshaokota points 3 nyumbani hawana presha wala hawatokuwa under pressure, .....hiyo game ngumu xana bora gama ya simba na raja kidogo inaonekana itakuwa open namianya yachances zakutengeneza magoli inaweza kupatikana kuliko game ya yanga na mazembe
Kwa nini unatumia x badala ya s?
 
Back
Top Bottom