Ila inaweza fungwa na jwaneng galaxySimba kufungwa na Raja hilo linawezekana
Ila Simba kamwe haiwezi fungwa na Horoya wala Vipers kwa mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila inaweza fungwa na jwaneng galaxySimba kufungwa na Raja hilo linawezekana
Ila Simba kamwe haiwezi fungwa na Horoya wala Vipers kwa mkapa
Pamoja na ushabiki wangu wa mnyama, lakini huwa sitoi viapo ambavyo vipo nje ya control yangu. TP Mazembe ina wachezaji wanadamu, na Yanga ina wachezaji wanadamu, so lolote linawezekana. Ikitokea TP Mazembe wameamka wamechoka kwa kupigwa kipapai na wakafungwa, utajitetea vipi? Mimi nikiona ushindi unalalia upande fulani huwa naweka mzigo (nabet), lakini siwezi kuweka post za kinabii bila manufaaYanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira
Mkuu siku hizi umekuwa mwana familia wa Feitoto au mwana familia ya Nabi au Hersi Saidi? Kiasi kwamba unajua hadi simu za watu wanazopigiana kama vile ni mke au mchumba wa mtu. Habari za kupigiwa simu umezipata wapi mwenzetu?Ni vizuri kama mioyo yenu finally imekubali kuachana naye, tunaelewa maumivu ya kuachika yanachukua muda kutulia. Basi mwacheni aende zake sasa, msimpigie hata hizo simu kumwambia eti aangalie future yake kumbe hamtaki tu kumwambia kuwa mnamuhitaji saana.
Muacheni ili miaka 2 ijayo awe anacheza pale mbele na Mohammed Mussa. Sasa hivi kaambiwa aongeze mwili kidogo na awe na nguvu zaidi, siyo mchezaji ana mwili kama mwanafunzi wa primary.
Nimeipenda analysis ya huyu jamaa. cc Shadeeya NumbisaNdugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
Duuh.Sioni uwezekano wowote wa Yanga kushinda. Atapigwa 2 chap then wawaachie mpira wacheze watakavyo.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ikawaje muzeye, umeacha?Ndugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
PILI MATEGENaunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
😆 😆 😆 😆 😆Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
🎶Dada Pili eeeh, unalinga nini eeeh, kuna warembo duniani kushinda wewe 🎶Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Dah! haya nyie mna points ngapi mpka sasa?Hapa tupo pamoja Yanga maximum points anaweza kusanya kwenye hilo kundi ni 4 tu na sio zaidi ya hapo
Yanga hana uwezo wa kumfunga Monastir wala Tp Mazembe Taifa labda aambulie sare moja kwenye hizo mechi 2
Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kuna huyu mwamba 😂😂😂Yanga ata goli moya apati hii michuano
Au sio ndungu mchambuziHapa tupo pamoja Yanga maximum points anaweza kusanya kwenye hilo kundi ni 4 tu na sio zaidi ya hapo
Yanga hana uwezo wa kumfunga Monastir wala Tp Mazembe Taifa labda aambulie sare moja kwenye hizo mechi 2
Nakuona nakuona mchambuzi 😂😂Home vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points
Total Points: 4 or Less
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️ Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...😂😂😂
WEKA HII RISITI.... 😆😆
UTI sugu ikiwapanda hua mnawashwa sanaSimba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa
Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati
Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha
Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr