Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Ni mpira, ngoja tuone nini kitafunwa wikiend ijayo. Mechi ya jana na ya leo hazikustahili kuisha hivi zilivyoisha. Makocha na wachezaji wana namna la kufanya ili kuliweka sawa kwenye mapungufu.
Hapo ndiyo tutatofautiana. Wale watunisia wako kiwango cha juu zaidi ya Yanga, sioni mkiweza kuwafunga hata Dar, labda kwa mambo ya nje ya uwanja. Leo mfurahi kwa matokeo yale. Mrudisheni Feisal, mna mengi ya kuwasaidia kuliko kupoteza kwa kurudi kwake.
 
Tutachezesha wachezaji wetu wenye mikimbio mizuri na kusubiri kipa wa Mazembe afanye makosa.
Te the the the mkuu kiweriweri samahani kidogo hivi ni nani aliyetamka hilo neno (mikimbio) naona linazungumzwa Sana kwenye sport zone hahaha na ilikuwa wapi huko
 
Hapo ndiyo tutatofautiana. Wale watunisia wako kiwango cha juu zaidi ya Yanga, sioni mkiweza kuwafunga hata Dar, labda kwa mambo ya nje ya uwanja. Leo mfurahi kwa matokeo yale. Mrudisheni Feisal, mna mengi ya kuwasaidia kuliko kupoteza kwa kurudi kwake.
Feisal angesaidia kipi? Sehemu kulipokuwa na mapungufu ni kuwepo kwa mtu kama Morrison.
 
Wewe unaangalia Yanga kufungwa na Mazembe unasahau timu unaenda kucheza na timu iliyosifika kwa ukuta mzuri kutokana na wachezaji wake kucheza kwa pamoja muda mrefu yaani Vipers kupigwa 5 na Raja Leo mnashadadia mambo ya Yanga msijidanganye eti kwa Mkapa hatoki mtu mtakuja kulia angalieni kwanza madhaifu kwanza kabla ya kuihukumu Yanga
 
Mh basi hata mechi ya Yanga haikufaa kuisha vile, ilipaswa iwe sare ya bila bila maana hakuna mpira wowote wa ajabu wa monastir zaidi kutegemea ufupi wa akina Kibwana.
Kwa hiyo hiyo jumapili Kibwana atakuwa ameongezeka urefu?
 
Simba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa

Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati

Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha

Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr
Hata kwenye ligi wanastruggle sana kupata goli mpaka kipa akosee ndiyo wafunge
 
Mh basi hata mechi ya Yanga haikufaa kuisha vile, ilipaswa iwe sare ya bila bila maana hakuna mpira wowote wa ajabu wa monastir zaidi kutegemea ufupi wa akina Kibwana.
Timu zote za Tunisia zinacheza mpira unaofanana sana, slow but sure.

Wakishakufunga tu wanakuachia mpira wanaanza kucheza slow, wanakuachia kazi ya kukimbia kimbia kama ngiri
 
Feisal angesaidia kipi? Sehemu kulipokuwa na mapungufu ni kuwepo kwa mtu kama Morrison.
Ni vizuri kama mioyo yenu finally imekubali kuachana naye, tunaelewa maumivu ya kuachika yanachukua muda kutulia. Basi mwacheni aende zake sasa, msimpigie hata hizo simu kumwambia eti aangalie future yake kumbe hamtaki tu kumwambia kuwa mnamuhitaji saana.

Muacheni ili miaka 2 ijayo awe anacheza pale mbele na Mohammed Mussa. Sasa hivi kaambiwa aongeze mwili kidogo na awe na nguvu zaidi, siyo mchezaji ana mwili kama mwanafunzi wa primary.
 
Home vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points

Total Points: 4 or Less

🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️ Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...😂😂😂

WEKA HII RISITI.... 😆😆




 
Home vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points

Total Points: 4 or Less

[emoji2303][emoji2303][emoji2303] Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...[emoji23][emoji23][emoji23]

WEKA HII RISITI.... [emoji38][emoji38]




Hapa tupo pamoja Yanga maximum points anaweza kusanya kwenye hilo kundi ni 4 tu na sio zaidi ya hapo
Yanga hana uwezo wa kumfunga Monastir wala Tp Mazembe Taifa labda aambulie sare moja kwenye hizo mechi 2
 
Yanga wana dominate mpira lakini hawapeleki pressure kwenye timu pinzani

Wanaweza kushinda home lakini natabiri ugumu
Simba hakupigwa presha kwenye ngao Wala ligi
 
Back
Top Bottom