tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
Mazembe alipewa bahasha kama kawaidaBila jezi nyeusi wale jamaa hawatoboi wazee wa bahasha
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazembe alipewa bahasha kama kawaidaBila jezi nyeusi wale jamaa hawatoboi wazee wa bahasha
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Nadhani sasa ushaona ni jinsi gani mazembe alivofungwa na YangaNdugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
Naona ulikua una comment huku umejizima data ukidhani mpira ni manenoSawa maoni yako ni hayo ila kwa upande wangu baada ya kuangalia mechi ya Jana na Leo, timu ya Jana ina uwezo mdogo kuliko inayokuja Raja, vilevile timu ya leo nayo sidhani kama ina uwezo kuliko Tp mazembe kwa hiyo naamini kwamba mechi zijazo Simba na Yanga hawawezi kushinda. Mechi tatu za mwanzo timu zetu zitaishia kupata point mojamoja tu kwa kutoa sare kule vipers na bamako
Sawasawa mchambuzi 😂😂Tutachezesha wachezaji wetu wenye mikimbio mizuri na kusubiri kipa wa Mazembe afanye makosa.
😂😂 Mvua ilishuka sanaHiki kikosi ni hatari nyieee Yanga kuna mvua jumapili itawashukiaaaa.
Ukishakuwa mchezaji wa TP Mazembe hata kama ni wakawaida tayari mentally ww utakuwa unajiona mkubwa, kwanza mazembe anamzidi yanga uzoefu nakila kitu nahawajawai kupoteza mchezo pale kwa mkapa.
Pili wanawafahamu vizuri wachezaji wengi wa yanga, tatu tofauti na waarabu wanaotumia xana akili kuliko nguvu ngozi nyeusi wakofiziki xana nawanafika xana miguuni, nne tayari wameshaokota points 3 nyumbani hawana presha wala hawatokuwa under pressure.
Hiyo game ngumu xana bora gama ya simba na raja kidogo inaonekana itakuwa open namianya yachances zakutengeneza magoli inaweza kupatikana kuliko game ya yanga na mazembe
PILI MATEGENaunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Tungeomba ubadili na Id yako kbs bibie Pili Matege[emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Maamuzi gan wewe? Mshukuruni mganga wenu.Mwenye hii thread naamini tayari kashachukua maamuzi Bora kwake, kwenye huu mchezo pendwa hatutaki mamluki
Home vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points
Total Points: 4 or Less
[emoji2303][emoji2303][emoji2303] Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...[emoji23][emoji23][emoji23]
WEKA HII RISITI.... [emoji38][emoji38]
Alibet huyu, sasa hivi anaugulia maumivuKwa heri bwana mawawa kwenye ulimwengu wa mpira rasmi ,tulikupenda ila bana conco bamekupenda zaidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tungeomba ubadili na Id yako kbs bibie Pili Matege[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258