Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Yanga akimfunga TP Mazembe naacha rasmi kushabikia mpira

Kuna namna kocha anatakiwa afanye katika mifumo yake ya uchezeshaji timu. Inafanya mashambulizi kunakuwa na idadi ndogo sana ya wachezaji kwenye box la mpinzani. Na pia akubaliane na hali kuwa Farid, Moloko na Kisinda sio mawinga ni wazuraji hivyo ajipange kwa namna nyingine
[emoji1787][emoji1787] acheni ujuaji
 
Hapa tupo pamoja Yanga maximum points anaweza kusanya kwenye hilo kundi ni 4 tu na sio zaidi ya hapo
Yanga hana uwezo wa kumfunga Monastir wala Tp Mazembe Taifa labda aambulie sare moja kwenye hizo mechi 2
Mnaumwa mavi c bure
 
Simba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa

Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati

Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha

Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr
Wachambuzi hewa

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.

Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.


View attachment 2515258
Haya wewe Kolo upo kwenye hali gani muda huu?

Usiache ushabiki uwepo hapa uzidi kutumia roho Kwa mafanikio ya Yanga.
Dadeeki.
 
Simba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa

Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati

Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha

Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr
Hongera Mkuu.
 
Vipi swimming competition zinaendaje huko philadelphia? Au unashabikia Racing siku hizi? 😀
 
Back
Top Bottom