Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] acheni ujuajiKuna namna kocha anatakiwa afanye katika mifumo yake ya uchezeshaji timu. Inafanya mashambulizi kunakuwa na idadi ndogo sana ya wachezaji kwenye box la mpinzani. Na pia akubaliane na hali kuwa Farid, Moloko na Kisinda sio mawinga ni wazuraji hivyo ajipange kwa namna nyingine
Mnaumwa mavi c bureHapa tupo pamoja Yanga maximum points anaweza kusanya kwenye hilo kundi ni 4 tu na sio zaidi ya hapo
Yanga hana uwezo wa kumfunga Monastir wala Tp Mazembe Taifa labda aambulie sare moja kwenye hizo mechi 2
Pili matege [emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Wachambuzi hewaSimba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa
Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati
Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha
Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr
Kofia😅nivue nini?
Wewe ndiye yule Binti Kazu?Ndugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
Haya wewe Kolo upo kwenye hali gani muda huu?Ndugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
Mafanikio gani mliyoyapata?🤣🤣🤣Haya wewe Kolo upo kwenye hali gani muda huu?
Usiache ushabiki uwepo hapa uzidi kutumia roho Kwa mafanikio ya Yanga.
Dadeeki.
Kumbe mafanikio tena sio kumfunga mazembe. Mbu x 3 pro maxMafanikio gani mliyoyapata?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera Mkuu.Simba itashinda hilo sina wasi wasi kabisa
Hata mechi ya jana haikufaa iishe vile basi tu ni bahati
Ila hii ya Yanga huwezi kusema bahati kwasababu uwezo wa wachezaji ndio ulioamua mechi kuliko mbinu za kocha
Yanga sijaona shambulizi la hatari iliyofanya kiasi wapate kauli ya kusema ni bahati iliwabeba Monastr
ImaraHongera Mkuu.
Imara ya nyokoImara
Kwa bamako Yanga anaenda kushinda goli moja... unasemaje hapo!Naona ulikua una comment huku umejizima data ukidhani mpira ni maneno
Dada PILI MATEGE naweza pata number yako mrembo?Naunga mkono hoja,,
Na Mimi mniitie PILI MATEGE.
kama UTOPOLO FC itamfunga TP Mazembe.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
UshaachaNdugu zangu sioni ni jinsi gani Yanga atamfunga giant TP Mazembe hapo Jumapili.
Kwa aina ya uchezaji wa Yanga wa kutegemea goli kipa afanye makosa ndio washinde siioni hiyo nafasi Jumapili.
View attachment 2515258
Kabadili macho maana hayo unayotumia kuona ukweli ni mabovu sana hayafai hata kuuzwa kwenye bidhaa chakavu.Kuna kaukweli hapa nakaona.