Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wape taarifa mkuuYaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma
Namaanisha mkuu sio masikharaSawa,ngojeni tuone
Muwe mnamaanisha.
Dahh tunaweza kukukosa Mkuu 🤣🤣🤣🤣Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
Sijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leoDahh tunaweza kukukosa Mkuu 🤣🤣🤣🤣
Na Mimi Yanga akatoa Draw naomba nipigwe ban mwaka mzima na km akifungwa naomba nipigwe ban miaka 3 mfululizo bila kupumzikaSawa,ngojeni tuone
Muwe mnamaanisha.
Moloko ameanza??Sijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leo
Hizi ndo akili za Wa TanzaniaNitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
Bahati nzuri,jf ukiandika uzi huwezi tena kuufuta.Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]
🤣🤣NakaziaWeka IDs zako zote...
Nabold kabisa.Weka IDs zako zote...
Iyo mvua ujui maana yake, inaondoa uchafu wote uliowekwa uwanjaniNa mvua imenyesha kuonyesha ushindi wa mnyama.