Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisamehewa [emoji23]Yeah, Half american bado yupo! Mexence Melo tunaomba huyu mwana-Yanga mwenzetu apigwe Ban aliomba mwenyewe! Ndio wametuchulia hawa mpaka tukafungwa na Kolo!
Aaaaah! Alitakiwa atimize abadi yake!Alisamehewa [emoji23]
Maisha yanaenda kasi sana yani tayari mkuu unatamba na nyota ya Hakimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mali hata hilo jiko la gesi zipo kwenye milki ya Mama
Jamaa kajipiga BanNitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
Leo naona Wachambuzi Uchwala wanao chambua habari za michezo ili kumfurahisha ili wakamkope Mwenyekiti wa Yanga wametulia.
Na Manara Wametulia
Nimeambiwa mwanamke kaamkia kwa jamaa jana, waliomuona alikuwa na kanga moja tu nyepesiiiiKuna mtu huko Shinyanga kaahidi kutoa mke wake kwa shabiki wa Simba kama Yanga itafungwa.
Katoa na Cheti cha ndoa kabisa, na Yanga ikimfunga Simba kaahidi apewe shilingi elfu moja tu yaani buku.
Sijajua kinacho endelea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeambiwa mwanamke kaamkia kwa jamaa jana, waliomuona alikuwa na kanga moja tu nyepesiiii
Ajaribu mtu mwingine ila sio mimi, ningekuwa bado kifungoni hadi sasa😅wazee wa kujilipua uwanja ni wenu jumapili sio mbali.