To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤭Mimi nilikua namsindikiza tu km mchangiaji Mimi sikuaga si unajua wapambe hawakosekani Ila wapambe ni nuksi kikinuka wanakugeuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤭Mimi nilikua namsindikiza tu km mchangiaji Mimi sikuaga si unajua wapambe hawakosekani Ila wapambe ni nuksi kikinuka wanakugeuka
ndio uwe unatuliza matter core,na mdomo wakoYeye tu mkuu nilishajiandaa kwa lolote
OohhAlipigwa ban wamemwachia nahisi alipigwa ya masaa mawili,
Acha hizo bana tutakumiss wenzio[emoji23]
[emoji23] nawaachia jf yenu ad october
[emoji1787][emoji23]
Leo
Kwa atakaenimis atangulize namba pm 😅
😂 ngoja niapply plan Bndio uwe unatuliza matter core,na mdomo wako
[emoji23][emoji23][emoji23] HeheSawa mkuu.
Tutazingatia
Usiondoke bana mmarekani nusu wetu😀Kwa atakaenimis atangulize namba pm 😅
Natimiza ahadi 😂Usiondoke bana mmarekani nusu wetu😀
Sure,ahadi ni deni.Sifa ya mwanaume ni kuwa na msimamo thabiti sijajua kwanini mpaka saivi unakuwa kigeugeu wa kutimiza ulichoahidi [emoji848]
Natimiza ahadi yanguSifa ya mwanaume ni kuwa na msimamo thabiti sijajua kwanini mpaka saivi unakuwa kigeugeu wa kutimiza ulichoahidi [emoji848]
Exactly.Sure,ahadi ni deni.
Serikali yenyewe ina ahadi za tangia mwaka 1961 hawajatimiza hadi leo wanatupa tu ahadi juu ya ahadi, wewe ni nani utimize leo leo?Natimiza ahadi 😂
Naomba usikilizwe una hojaSerikali yenyewe ina ahadi za tangia mwaka 1961 hawajatimiza hadi leo wanatupa tu ahadi juu ya ahadi, wewe ni nani utimize leo leo?
Offer yako mwisho sa 5:59:59, usionekane humu.Natimiza ahadi yangu
Nitarudi octoberOffer yako mwisho sa 5:59:59, usionekane humu.
NakaziaNaomba usikilizwe una hoja