Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kupewa ban yako uliyotaka [emoji23][emoji23] nimeyakanyaga huyu kibu leo hapana
Ufanye kweli bossSawa mkuu.
Tutazingatia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyieee nacheka sanaaaaSawa mkuu.
Tutazingatia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpaka Melo kamjibu ajiandae na ukiona hivyo ujue Melo simba mwenzetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtoto mbaya unachekelea chooni
Kaeiuuu insane kobold ee6Sijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leo
Mda badoVKaeiuuu insane kobold ee6
Mkuu kama ni utani sema mapema maana moderator wamevurugwa watakulamba kweli
Sawa mkuu.
Tutazingatia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpaka Melo kamjibu ajiandae na ukiona hivyo ujue Melo simba mwenzetu
Naomba muwe siriazi 😂Sawa mkuu.
Tutazingatia
Mkuu Melon, nakuomba sana sana, mtoto akililia wembe umpe.Sawa mkuu.
Tutazingatia
NGojeni muoneJiandae kupewa ban yako uliyotaka [emoji23]
Nawapa nafasi ya mwisho.Yaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma
Ad ww Unansagia kunguni mkuuMkuu Melon, nakuomba sana sana, mtoto akililia wembe umpe.
HAKIKISHA UNAMPA BAN
Hamna Cha kuona, hii ngoma mnalalaNGojeni muone
AiseeMimi ni shabiki wa yanga ila hii mechi ya leo simba anashinda
Bahati nzuri,jf ukiandika uzi huwezi tena kuufuta.
Uzi wako utaukimbia huu,sisi tutawatag tu mods watekeleze hukumu.