Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

Mkuu chezea vyote ila sio Kuchezwa Simba 🤣🤣

Leo unapigwa BAN, na visa vya Kimasihara vinakupita.

Na ukishapigwa Ban tu, naweka tukio la kumla Kimasihara Mwarabu .
Hakuna namna lazima ahadi itekelezeke
Paw njoo hapa boss
😂
Nitahakikisha haubaki salama kwa kumkumbusha JamiiForums moderator
Iteni timu nzima ya jf
😂
 
Ad ww Unansagia kunguni mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom