Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator

Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]
Tatizo mashabiki uchwara huwa mnatembea na matokeo mfukoni.., matokeo yake inapokuwa tofauti huwa mnatamani hata kujipiga kitanzi.
 
Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator

Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi πŸ’šπŸ’›
Yaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma
Na Mimi Yanga akatoa Draw naomba nipigwe ban mwaka mzima na km akifungwa naomba nipigwe ban miaka 3 mfululizo bila kupumzika
😁😁
Wakuu, siyo kwamba mkitwangwa BAN mtarejea hapa kimya kimya kupitia mlango wa uani kwa I'd mpyaa?
 
Back
Top Bottom