Yanga akishinda ugenini, hoja ya kusema USM Alger ni timu dhaifu haitokuwepo tena kwani wanaisifu kuwa ni bora kuliko Yanga

Yanga akishinda ugenini, hoja ya kusema USM Alger ni timu dhaifu haitokuwepo tena kwani wanaisifu kuwa ni bora kuliko Yanga

YANGA ilikuwa inacheza na timu ndogo sana
Bamako.
Marumo.
Clab Africane.
Zalan nk.

HAWAJACHEZA NA TIMU KUBWA KAMA.
MAMELODY.
KAIZER CHEEF
OLANDO
WHYDAD
RAJA
ALHALY NK

CHEZA NA WAKUBWA NDIO UTAJUA UDHAIFU WAKO.

YANGA ni DHAIFU mno
DHAIFU hata kwa Mnyama.
Ulisomea wapi wewe?
 
Back
Top Bottom