Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
HAYA KOJOA ULALE SASA MTOTO MZURI....
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Nabii uchwara toka Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Madunduka/Mipang'ang'a/Ngada/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume FC [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hesabu yako IPO sawa.

Yanga Wana Timu nzuri mno.

Bado ni wageni kwenye Mashindano ya kimataifa.
Viongozi wao Bado wanajifunza.
Wapo shule.

Kwa kikosi walichonacho yanga wangekuwanacho Simba nahisi Simba ingefika Fainali.

Mapungufu makubwa sana ya Simba ni.
6,8,9. Hebu fikiria Hawa watu wangekuwa Simba.
Bangala.
Aucho.
Mayele.

Simba ingekuwa BINGWA wa CAF 2023.
Makolokolo wamekupita hapa kama vile vipofu [emoji3]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Umezunguka sana kuandika hicho kichwa cha habari..ungeandika tu kwa ufupi..Yanga hatofuzu robo fainali
 
Kwani Yanga isipofuzu robo fainali CAFCC wewe kolo muanzisha mada utapungukiwa nini?
 
Hata ikatokea tumeshindwa kuendelea hatua ya robo fainali, bado tuna nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wetu wa NBC, na pia ASFC.

Kuna shida nyingine? Mwakani tutashiriki tena.
ASFC kwa msingi upi mkuu ?
 
Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Okay. Hiyo ligi yenye makipa wabovu ambao Yanga inashindia makosa yao, Je kuna timu nyingine inashiriki ambayo ipo kwenye mashindano ya kimataifa? Yenyewe unaitabiria nini?
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Wapuuzi ni wengi hii nchi
 
ASFC kwa msingi upi mkuu ?
Kama kawaida yetu. Tulianza na Ngao ya jamii, tunachukua Kombe la Ligi kuu, na tutamalizia na Kombe la Azam Sports Federation. Yaani tunafanya kama msimu uliopita.
 
Back
Top Bottom