Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Lakini point 1 atakuwa kaipata?Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini point 1 atakuwa kaipata?Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
HAYA KOJOA ULALE SASA MTOTO MZURI....Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Nabii uchwara toka Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Madunduka/Mipang'ang'a/Ngada/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume FC [emoji16]Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Akili za kusoma uzi wote utakuwa nazo wewe Kolowizard? [emoji847]Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
Makolokolo wamekupita hapa kama vile vipofu [emoji3]Hesabu yako IPO sawa.
Yanga Wana Timu nzuri mno.
Bado ni wageni kwenye Mashindano ya kimataifa.
Viongozi wao Bado wanajifunza.
Wapo shule.
Kwa kikosi walichonacho yanga wangekuwanacho Simba nahisi Simba ingefika Fainali.
Mapungufu makubwa sana ya Simba ni.
6,8,9. Hebu fikiria Hawa watu wangekuwa Simba.
Bangala.
Aucho.
Mayele.
Simba ingekuwa BINGWA wa CAF 2023.
Niamini Mkuu, Mrejesho wataupata humu humu baada ya mchezo wa jumapilii😂😂😂Kaa tayari kutukanwa
ASFC kwa msingi upi mkuu ?Hata ikatokea tumeshindwa kuendelea hatua ya robo fainali, bado tuna nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wetu wa NBC, na pia ASFC.
Kuna shida nyingine? Mwakani tutashiriki tena.
Wewe kwa akili zako unahisi Horoya anatoboa kwa simba ?Kwa akili zako unadhani utamfunga horoya?
Hata wewe ni kibonde vile vile, huna maajabu yeyote mbele ya Mazembe,, hivyo usishangae likitokea la kutokeaNdugu kwasasa mazembe Ni kibonde..
mbumbumbu asiyejua kusoma lakini anajua kuandikaTangu lini mbumbumbu akajua kusoma.
Okay. Hiyo ligi yenye makipa wabovu ambao Yanga inashindia makosa yao, Je kuna timu nyingine inashiriki ambayo ipo kwenye mashindano ya kimataifa? Yenyewe unaitabiria nini?Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Wapuuzi ni wengi hii nchiYanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Watu wajinga kama nyie hamna hadhi ya kutukanwaKaa tayari kutukanwa
Kama kawaida yetu. Tulianza na Ngao ya jamii, tunachukua Kombe la Ligi kuu, na tutamalizia na Kombe la Azam Sports Federation. Yaani tunafanya kama msimu uliopita.ASFC kwa msingi upi mkuu ?
Wewe kwa akili zako unadhani mazembe na monastir watatoboa kwa yanga?Wewe kwa akili zako unahisi Horoya anatoboa kwa simba ?