Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Mnajadili kitu Gani kuongoza kundi Ama kumpasua Aly ahly?Na akampasua na kuongoza kundi au vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajadili kitu Gani kuongoza kundi Ama kumpasua Aly ahly?Na akampasua na kuongoza kundi au vipi
Akuna aliyekimbilia makundi ya wengine tunaweka statement sawa msiwe mnalinganisha vitu kijinga, Kila mtu apambane na kundi lake ukitaka kulinganisha utakuwa unajivua nguo labda Kama mpira umeujulia ukubwani!Wewe shinda gem zako ,,acha kutafuta huruma huku si mlisema nyie ni bora mnakikosi ,, sa hz kina walamba mnakimbilia makundi ya wengne😜
Lakin yanga wenyew walikuwa wanamtaman al ahly, Caf hawakuwa na hiyana wakamuongezea na crb kwa kundi saiz wanaanza kusema kundi gumu na kutamani makundi ya timu nyingine,he saying the truth. yanga group ni gumu sana. very tactical
Mmehamisha magoli tena.Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Think twice bro unafikiri kwa nini Wydad hana point hata moja ndiyo anashikilia mkia?Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Tuache kuzecha mpira wa mdomoniKwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Hee Kumbe tupo ndani ya Tanzania sio kimataifa tena. Hongera kwa kubeba ngao jamii. Nipo kijijini huku sijafatilia ligi kuu kwa muda mrefu sana hivi nani anayeongoza ligi ya NBC kwasasa? Na matokeo ya derby ilikuaje kuaje?Ngao ya jamii tumeshinda wew kule kweny kundi unavuta mkia[emoji13][emoji13]
Bado sijakata tamaa. Ila ninaamini katika matokeo 3 ya mpira wa miguu. Unaweza ukawa na kikosi kizuri, na bado mkafanya vibaya.Siamini kama mtani uliyekua unatamba una kikosi kuzuri umekata tamaa mapema.
Azam hamna timu, hata kwenye ligi tunaionaBado sijakata tamaa. Ila ninaamini katika matokeo 3 ya mpira wa miguu. Unaweza ukawa na kikosi kizuri, na bado mkafanya vibaya.
Na mfano mzuri ni Azam Fc! Ilitolewa kwenye kombe la shirikisho na timu ya kawaida kabisa, huku ikiwa na kikosi kilichokamilika kwenye kila idara.
Umeifuatilia lakini kwenye mechi zake 3 za mwisho? Kuna mtoto anaitwa Kipre Junior. Ana uwezo wa kupiga chenga kuanzia katikati ya uwanja na kufunga.Azam hamna timu, hata kwenye ligi tunaiona
Tuzungumzie ya sasa hivi. Mlisema Al Ahly imekuwa unga ndiyo maana ilitoka sare na Simba baada nyie kutoka nao sare ghafla imekuwa ngumu akili za wapi hizi? Kinachowatesa nyie ni tambo zenu za kishamba mambo yakiwafika mnatafuta chaka la kujificha.Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Goli la cannavaro unalikumbuka wewe?
Wala hakuna tatizo. Kwanza sisi Yanga kwa msimu huu malengo yetu makuu yalikuwa ni kufika hatua ya makundi.
Hivyo tukiishia hatua hii, poa tu. Tutajipanga vizuri msimu ujao.
Tuna point 2 kwa michezo miwili na nyie mna point 1 kwa michezo miwili usichoelewa nini hapo? Kubalini tu kuwa haya mashindano yako juu ya uwezo wenu.Nyie ambao hamkimbii kimbii, tokea msimu huu umeanza, ni mechi ipi ambayo mmeshinda?
Lazima tuseme maana mmekosa Cha kuongea na kumbukumbu mmepoteza, mmebaki kung'ang'ania hoja ya kumfunga Aly ahly kana kwamba nyie ndio mmemfunga tokea Dunia imeumbwa, inakuwaje iyo!Tuzungumzie ya sasa hivi. Mlisema Al Ahly imekuwa unga ndiyo maana ilitoka sare na Simba baada nyie kutoka nao sare ghafla imekuwa ngumu akili za wapi hizi? Kinachowatesa nyie ni tambo zenu za kishamba mambo yakiwafika mnatafuta chaka la kujificha.
Wacheni kupiga mayoweWala hakuna tatizo. Kwanza sisi Yanga kwa msimu huu malengo yetu makuu yalikuwa ni kufika hatua ya makundi.
Hivyo tukiishia hatua hii, poa tu. Tutajipanga vizuri msimu ujao.
Wacha uzoba mkuu mechi ilichezwa jana hayo miaka 20 iliyopita hayawaongezei point,mna kapointi kamoja mlikobahatisha jana. Angalieni mechi inayokuja hizi historia zinawacheleweshaMnajadili kitu Gani kuongoza kundi Ama kumpasua Aly ahly?
Jana mlimfunga Al Ahly?Lazima tuseme maana mmekosa Cha kuongea na kumbukumbu mmepoteza, mmebaki kung'ang'ania hoja ya kumfunga Aly ahly kana kwamba nyie ndio mmemfunga tokea Dunia imeumbwa, inakuwaje iyo!
Nyie mmemfunga lini?Jana mlimfunga Al Ahly?