Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Au ulikuwa ujazaliwa?Kutoka kuingia fainali za cafcl mpaka kutamani kundi la Simba. Simba kwa Sasa ipo kiwango Cha Chini ndio maana unaongea hivyo. Simba iliwahi kumaliza group stage ikiwa ya kwanza ikiongoza dhidi ya Al Alhly na hata kumfunga hapa nyumbani. Tuwe na heshima.