Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

Kundi la mikia mabingwa wa nchi zao ni jwaneng na asec,waliobakia viti maalum,kundi la Yanga ndilo kundi lililokutanisha timu zote 4 ni mabingwa wa nchi zao
Ndo mjue ubingwa wenu ulikua wa bahasha maana si kwa moto huu na vichapo mnavyopelekewa...asalaleee
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Utopolo hamnazo, ombeni wawahamishe kundi mpangwe na timu mtakazo chagua.
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Hii timu ina wivu wa kije sana... alqays kuikodolea macho simba... pambaneni na kundi lenu...
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Hizi akili ndio ziliwafanya hao Yanga mpaka sasa kwenye kundi lake anapoint 1 tu na hali yake bado ni mbaya sana kwakua anapenda kujilinganisha na Simba yani hapo ndipo anapofeli kabisa yani toto feiliyaaa...
 
Ulimbukeni unakusumbua...
5 hyo ndo nini?.yani watu tumeshasahau huo upupu siku nyingiii...
5imba unasahau vipi kirahisi hivyo 🖐 😂
20231123_230940.jpg
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Simba angekua kundi la Yanga angekua anaongoza kundi, hakuna timu ngumu yoyote kundi la Yanga ni kutojua kwao tu ndio kunawafanya waburuze mkia.
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Nyie nyuma mwiko hivi post zenu hazipati mashiko hadi muitaje Simba?
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Kumbuka simba aliwa pangwa kundi 1 na huyo mbabe wa Egypt na akaongoza kundi. Nyie mnashindwa nini kupngoza?
 
Back
Top Bottom