Katika mechi walizocheza yanga ameshinda mara ngapi kama sio mara moja tu kati ya mechi Saba?Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Au ulikuwa ujazaliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mechi walizocheza yanga ameshinda mara ngapi kama sio mara moja tu kati ya mechi Saba?Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Au ulikuwa ujazaliwa?
Tusubiri inyeshe...Misuli SC inaweza maliza na point 1 kulaaaleki.Mli ishia wapi vile
Tuna ngao ujue,wewe una nini?Nyie ambao hamkimbii kimbii, tokea msimu huu umeanza, ni mechi ipi ambayo mmeshinda?
Wewe umemfunga mara ngapi?Katika mechi walizocheza yanga ameshinda mara ngapi kama sio mara moja tu kati ya mechi Saba?
kipindi sisi tunaongoza kundi na Al ahly akiwemo mlikuw mnasema ooh kundi rahisi sasa mmebanwa mbavu mnaanza kulalamikahe saying the truth. yanga group ni gumu sana. very tactical
Mtaleta vi uchambuzi uchwara ili mjipe faraja...
Ndo mjue ubingwa wenu ulikua wa bahasha maana si kwa moto huu na vichapo mnavyopelekewa...asalaleeeKundi la mikia mabingwa wa nchi zao ni jwaneng na asec,waliobakia viti maalum,kundi la Yanga ndilo kundi lililokutanisha timu zote 4 ni mabingwa wa nchi zao
Utopolo hamnazo, ombeni wawahamishe kundi mpangwe na timu mtakazo chagua.Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Zile 5imba zitawatesa sana makoloNdo mjue ubingwa wenu ulikua wa bahasha maana si kwa moto huu na vichapo mnavyopelekewa...asalaleee
Ulimbukeni unakusumbua...Zile 5imba zitawatesa sana makolo
Hii timu ina wivu wa kije sana... alqays kuikodolea macho simba... pambaneni na kundi lenu...Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Hizi akili ndio ziliwafanya hao Yanga mpaka sasa kwenye kundi lake anapoint 1 tu na hali yake bado ni mbaya sana kwakua anapenda kujilinganisha na Simba yani hapo ndipo anapofeli kabisa yani toto feiliyaaa...Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Ficha huu ujinga wako....Kundi la mikia mabingwa wa nchi zao ni jwaneng na asec,waliobakia viti maalum,kundi la Yanga ndilo kundi lililokutanisha timu zote 4 ni mabingwa wa nchi zao
5imba unasahau vipi kirahisi hivyo 🖐 😂Ulimbukeni unakusumbua...
5 hyo ndo nini?.yani watu tumeshasahau huo upupu siku nyingiii...
Jibu hoja wewe mama,mjinga mama yako pumbavuFicha huu ujinga wako....
Simba angekua kundi la Yanga angekua anaongoza kundi, hakuna timu ngumu yoyote kundi la Yanga ni kutojua kwao tu ndio kunawafanya waburuze mkia.Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Nyie nyuma mwiko hivi post zenu hazipati mashiko hadi muitaje Simba?Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Kumbuka simba aliwa pangwa kundi 1 na huyo mbabe wa Egypt na akaongoza kundi. Nyie mnashindwa nini kupngoza?Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18