Yanga atafika hatua ya robo fainali tena kwa kujihakikishia nafasi mapema kabisa

Yanga atafika hatua ya robo fainali tena kwa kujihakikishia nafasi mapema kabisa

Unaambia za Chini Chini kwenye Kundi kila Timu inaitamani Yanga ... Ijiokotee kialama ata mana ni uhakika
 
Kila la kheri Chama kubwa Yanga,, Madeama lazima adondoshe point 6 zote dadeki
Mbna medeama inachukuliwa simple simple au kwa kuwa jina siyo maarufu Sanaa tutashangazwa Sana safari hii yanga tukicheza vibay tutajikuta tumekuwa wa mwishoo ktk kundi
 
Kama unaamini hivyo na si ushabiki, basi akili yako haitoshi kufanya reasoning.
😂😂😂😂 sasa mkuu kundi zima watu wana above 2 points halafu mmoja ndo hana what do you think they think of you😁😁😁

Reasoning wewe ndo unafanya unataka kusema nini ambacho kinakufanya usiwe mchekea

Kwenye kundi unaongoza kwa kufungwa
Una point moja
Wa mwisho kwenye kundi

Haya sema what makes you think the opponents won't (don't😁😁) see you as mchekea of kundi
 
😂😂😂😂 sasa mkuu kundi zima watu wana above 2 points halafu mmoja ndo hana what do you think they think of you😁😁😁

Reasoning wewe ndo unafanya unataka kusema nini ambacho kinakufanya usiwe mchekea

Kwenye kundi unaongoza kwa kufungwa
Una point moja
Wa mwisho kwenye kundi

Haya sema what makes you think the opponents won't (don't😁😁) see you as mchekea of kundi
Tuombe uzima tu.
 
Kwa Mediama gamond akifunguka wameumia bora watafute point 1
 
Siyo rahisi kihivyo. Yanga ikitoka sare kule Ghana ihesabu imeaga mashindano ingawa kimahesabu kila kitu kinawezekana
Tutafanya hivi

1701829727475.jpeg
 
Kwa kikosi walichonacho na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja bila kusahau wanavyoendelea kurekebisha makosa yao, naiona Yanga hii ikitinga hatua ya robo fainali mapema tu. Hata msimamo katika kundi lao, bado unatoa nafasi kwa kila timu kusonga mbele huku nikiamini Yanga yuko katika nafasi nzuri zaidi.

CRB anakwenga kufungwa Cairo katika mechi ijayo kwani Al Ahyl atataka kujihakikishia nafasi mapema tu kupitia mechi ya nyumbani huku Yanga ama akitoa sare huko Ghana au hata kushinda. Medeane akija Bongo, anachapika, kwahiyo tuna uhakika wa pointi 4 mpaka 6.CRB akija Bongo nae tunamaliza hesabu kujihakikishia ushindi/nafasi ya kufuzu.

Pia, Yanga atacheza mechi ya mwisho na Al Ahyl ambae atakuwa ameshafuzu wakati huo na atakuwa hana cha kupoteza na hivyo kuongeza uwezekano wa Yanga kutoka nae sare na hata kumfunga akiwa kwao(Cairo).

Muda utathibitisha,
inshallah kwa uwezo wa Mola
 
Kwa kikosi walichonacho na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja bila kusahau wanavyoendelea kurekebisha makosa yao, naiona Yanga hii ikitinga hatua ya robo fainali mapema tu. Hata msimamo katika kundi lao, bado unatoa nafasi kwa kila timu kusonga mbele huku nikiamini Yanga yuko katika nafasi nzuri zaidi.

CRB anakwenga kufungwa Cairo katika mechi ijayo kwani Al Ahyl atataka kujihakikishia nafasi mapema tu kupitia mechi ya nyumbani huku Yanga ama akitoa sare huko Ghana au hata kushinda. Medeane akija Bongo, anachapika, kwahiyo tuna uhakika wa pointi 4 mpaka 6.CRB akija Bongo nae tunamaliza hesabu kujihakikishia ushindi/nafasi ya kufuzu.

Pia, Yanga atacheza mechi ya mwisho na Al Ahyl ambae atakuwa ameshafuzu wakati huo na atakuwa hana cha kupoteza na hivyo kuongeza uwezekano wa Yanga kutoka nae sare na hata kumfunga akiwa kwao(Cairo).

Muda utathibitisha,
Unaposema “mapema sana” unamaanisha baada ya mechi ngapi?

Ingekuwa mapema sana, usingezungumzia mechi za mwisho.

Dah! Kaazi kweli kweli!

Maana ushabiki wa mpira umeshakuwa kama imanı za madhehebu.
 
Mlitutangazia mnavaa misuli ili mje kuifundisha dunia jinsi ya kuifunga Ahly home and away?, vipi mnaongoza kundi kwa points ngapi?
Wanaongea sana mashabiki wa utopolo. Mwaka Jana (2022)walipita uchochoroni wakafika fainali ya shirikisho. Ila mwaka huu kazi wanayo.
Binafsi naona watamaliza kundi wakiwa nafasi ya 4 au 3, yaani kufizu kwao ni sawa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Kwa kikosi walichonacho na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja bila kusahau wanavyoendelea kurekebisha makosa yao, naiona Yanga hii ikitinga hatua ya robo fainali mapema tu. Hata msimamo katika kundi lao, bado unatoa nafasi kwa kila timu kusonga mbele huku nikiamini Yanga yuko katika nafasi nzuri zaidi.

CRB anakwenga kufungwa Cairo katika mechi ijayo kwani Al Ahyl atataka kujihakikishia nafasi mapema tu kupitia mechi ya nyumbani huku Yanga ama akitoa sare huko Ghana au hata kushinda. Medeane akija Bongo, anachapika, kwahiyo tuna uhakika wa pointi 4 mpaka 6.CRB akija Bongo nae tunamaliza hesabu kujihakikishia ushindi/nafasi ya kufuzu.

Pia, Yanga atacheza mechi ya mwisho na Al Ahyl ambae atakuwa ameshafuzu wakati huo na atakuwa hana cha kupoteza na hivyo kuongeza uwezekano wa Yanga kutoka nae sare na hata kumfunga akiwa kwao(Cairo).

Muda utathibitisha,
Unakumbuka kuwa utopolo walishacheza mechi mbili na wamevuna pwent moja tu???
JamiiForums790734876.jpg
 
Yanga Bora inamvizia Medeama. Cha ajabu Medeama atashinda mechi zake dhidi ya Yanga.
Haya mashindano sio Shirikisho
 
Back
Top Bottom