Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hata hivyo kwa signing iliyopo, kama kocha atawapa maelekezo vizuri, na wakataka kutumia nafasi vizuri, itakuwa nzuri sana. mfano, goli la pili yanga leo halikutakiwa kufungwa kama mabeki wawili nyuma ya mfungaji wangeenda kumkaba. watu wawili wapo nyuma wanatembea kama hawana miguu.Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
Kabisa 🤣Ulikua hujui waga ana mihemko kama mbuzi jike mwisho wa siku anatia aibu tu ni kumpuuza tu mpira hajui..
Kuna Mbumbumbu nilikaa nayo banda umiza mda wote anaombea chama apoteze pasi au asipasiwe kabisa.Mnasajili mzee kisha mnatuwekea matangazo mji mzima huku mnashangilia, vyura mna shida sana.
all other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except
DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves
DUBE can't press sio yanga material kabisa
BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring
baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie
sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize
abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Hili ni lishoga la Mzee magoma, analipumulia
Achana nae huyoHivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.
Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Mzee Magoma huyoHivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.
Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Mbona kigiriki na kiyahudi kingi ndugu mwana lunyasiii.All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except
DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves
DUBE can't press sio Yanga material kabisa
BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes inmbona the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Too soon to make judgement!All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except
DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves
DUBE can't press sio Yanga material kabisa
BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Subiri tarehe 8 utapata majibu yakoMnasajili mzee kisha mnatuwekea matangazo mji mzima huku mnashangilia, vyura mna shida sana.
Unawezaje kuwahukumu wachezaji kwa mechi ya kwanza ya pre season. Nadhani wapewe muda wazoe timu, ni wachezaji wazuri. Pacome alivyokuja naye hakueleweka ila baada ya muda watu wakaukubali mziki wake.All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except
DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves
DUBE can't press sio Yanga material kabisa
BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Kinacho mbeba Mzize ni uraia na umri wake labda, lakini naamini hata kocha anakerwa na madudu yake.Mzize ni mzigo Gamondi ana mahaba naye bado anahita sipana yaani mazoezi yakutosha ya ufundi wa kufunga magoli lakini chetu ni chetu
Mzize ndani anacheza kwa morali,akikaribia goli,hawezi kabisa kufunga,yaani kwakweli asiwe anawekwa kwenye mechi muhimu,anakera sana.
Mwathibu part 2 ndio huyu sasa 😂😂,uwa awakomi aiseeSaafi! Kumbukumbu nzuri sana.
Na huu uzi tuuhifadhi kwa matumizi ya baadae.
Mzize ndiye mshambuliaji aliyecheza muda mwingi zaidi pale yanga msimu uliopita, na ndiye mshambuliaji mwenye performance mbovu kuliko hata waliocheza muda mchache.Hii ni preseason muwe mnajiongeza kuficha ujinga mda mwingine, kocha anaandaa kikosi kwa akili ya michuano ijayo ivyo lazima wachezaji wote wacheze, hii sio mechi ya kusaka ushindi ilikuwa ni mechi ya kuangalia timu kiufundi zaidi na mapungufu, Kama wangeshinda ingekuwa bonus angalia na timu waliyocheza nayo
Muda aliopewa unatosha, huwezi kumpa dakika 80 mshambuliaji butu kama mzize tena kwa club kubwa kama yangaMzize ndani anacheza kwa morali,akikaribia goli,hawezi kabisa kufunga,yaani kwakweli asiwe anawekwa kwenye mechi muhimu,anakera sana.
Hatuwezi kuwa na mshambuliaji butu kama huyo na tukaendelea kumvumilia. Amepewa nafasi kubwa sana msimu uliopita lakini hajaonekana ku improve kwa chochote.Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.
Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?